Chimbuko la Uislam na Karen Armstrong

Hata Ibirisi Lusifer aliumbwa ili amwabudu Mwenyezi Mungu
Je hicho ndio kigezo cha kumpenda na kumwamini ?
hebu tuoneshe uyo lucifer kwanza hlf ndo ulete stori zake

nimekuuliza maswali kule juu umeyakimbia pole sana
Jaribu kuusoma Uislamu punguza chuki
 
Yni m naona porojo tuuu na zile chuki zako ulizolishwa ndo unazitapika hpa
Yni sisi waislamu mafundisho ytu ni kua Issa sio mungu wala hajasulubiwa lkn sasa nenda kanisani uone wanavolishwa chuki kuhusu Uislamu. Naongea hili nina uthibitisho nalo kutoka kwa rafiki yangu mmoja ivi ambae si muislamu

Anyway Uislamu ndio Dini ya haqqi ukitaka usitake huo ndo ukweli
Chuki gani SASA.
Majini yanasema
Dini ya Kiislamu ni Yao.
Aya zipo
Na
Qurani ni kitabu Chao

Sasa unataka Mimi nibishane na Majini ?.
We vipi ndugu.
Mi siwezi kushiriki Dini moja na Majini.
Kamwe
 
hebu tuoneshe uyo lucifer kwanza hlf ndo ulete stori zake

nimekuuliza maswali kule juu umeyakimbia pole sana
Jaribu kuusoma Uislamu punguza chuki
Swali la nini.
Huko msikitini kuna Majini kibao mna swali nayo
Na ndio Maislamu ya kwanza kabla ya Binadamu.
Kama umeridhika Sawa Tu

Mimi kamwe, siwezi kushiriki Dini moja na Majini.
 
Jini NI kiumbe Kama wewe na Mimi.wala wasikupe HOFU.
Hata Ibirisi Lusifer ni kiumbe kama wewe wala asikupe hofu.
Na aliumbwa ili amwabudu Mungu kama Binadamu na Majini.

Ila Majini ni ndugu zenu nyinyi Waislamu.
Sisi hatuna nasaba na Majini.
 
Ingekuwa simple sana unazaliwa tu automatically unamjua Mungu next time Mungu akija kuumba watu uko mbele alifanyie kazi hili jambo.

Maana mabilion ya watu wamekufa pasipo kumjua yeye kama lengo lake katuumba tumuabudu,iwe tu automatically unazaliwa unajua kila kitu kuusu yeye.
Kama mtoto wa chui anavozaliwa na kujua kula nyama na kuwinda bila kukalilishwa
 
Kwanza inabidi tujue Ukristo umeletwa na nani ?

Uislamu kwa maana ya imani,upo tangu anaumbwa Adamu,ila kwa sheria alikuja nao Mtume Muhammad.

Nachojua mimi Ukristo ulianza kuwepo kabla ya ujio wa Mtume Muhammad. Hoja yako iko wapi ? Kwamba kisa umetangulia ndiyo Ukristo ni kweli au mafundisho yake ?
Mwamba anatakujua uislamu ulianza Karne ya ngap ww unakimbilia kuuchambua ukristo
 
Sisi tumeona uyo mchungaji akiyafanya hayo je ww umemuona Allah akiyafanya hayo tupe ushahidi usilete porojo tuu
Allah mwenyewe anasema anatuma wenzake
19.83 Kwani huoni ya kwamba tumewatuma mashet'ani kwa makafiri wawachochee kwa uchochezi?
 
Yni m naona porojo tuuu na zile chuki zako ulizolishwa ndo unazitapika hpa
Yni sisi waislamu mafundisho ytu ni kua Issa sio mungu wala hajasulubiwa lkn sasa nenda kanisani uone wanavolishwa chuki kuhusu Uislamu. Naongea hili nina uthibitisho nalo kutoka kwa rafiki yangu mmoja ivi ambae si muislamu

Anyway Uislamu ndio Dini ya haqqi ukitaka usitake huo ndo ukweli
Issa haijulikani alikiwepo lini ,koran inasema alikuwa mjomba ake musa

Pia issa alisulubiwa kwa mujibu wa koran allah alidanganya watu kwa Kuweka isa bandia msalabani ,ndipo hapo allah akatengeneza dini ambayo iliamini isa kasalubiwa kwa uongo wake , allah akakaa miaka zaidi ya elfu akaja akasema niliwadanganya na yule alikuwa sio isa ila ni clone yake
Na allah akaanza kuwalaani wale walio amini uongo wake
 
Issa haijulikani alikiwepo lini ,koran inasema alikuwa mjomba ake musa

Pia issa alisulubiwa kwa mujibu wa koran allah alidanganya watu kwa Kuweka isa bandia msalabani ,ndipo hapo allah akatengeneza dini ambayo iliamini isa kasalubiwa kwa uongo wake , allah akakaa miaka zaidi ya elfu akaja akasema niliwadanganya na yule alikuwa sio isa ila ni clone yake
Na allah akaanza kuwalaani wale walio amini uongo wake
Huyo ni Mwarabu Issa, aliyezaliwa Madina na kukulia katika mji wa Makka.
Hakuwahi kuteswa wala kusurubiwa.
Naskia hajafa, haielezwi yuko wapi.
Historia yake inapatikana kwenye mji wa Makka.
Uongo wowote unaoandikwa na Nabii yule hauruhisiwi kuhojiwa, ni lazima wafuasi wake wauamini.
 
Hakuna muujiza kwa allaha, amesha sema kabisa amezuia miujiza kwa muhammad na akasema muhammad ni muonyaji tu hana muujiza

Acha nile bata kwanza nitajibu kesho
🤣🤣 Mbona unachanganya mada mkuu? Exactly hakuna mtume aliyeumbwa na maajabu ila woote walikuwa wanamuomba mwenyezi mungu kisha anawaruhusu sasa waamuru wafu kufufuka, wapasue bahari itengeneze njia na hata kuupasua mwezi pande mbili .

All those miracle zinatoka kwa Allah( the exalted one) mitume walikuwa hawana devine status yoyote walikuwa ni binadamu kama sisi ila wakiochaguliwa na Allah (the exalted one) kuleta ujumbe mmoja tu "ACHENI KUABUDU MIUNGU WENGINE ISIPOKUWA ALLAH (The exalted one).
 
Issa haijulikani alikiwepo lini ,koran inasema alikuwa mjomba ake musa

Pia issa alisulubiwa kwa mujibu wa koran allah alidanganya watu kwa Kuweka isa bandia msalabani ,ndipo hapo allah akatengeneza dini ambayo iliamini isa kasalubiwa kwa uongo wake , allah akakaa miaka zaidi ya elfu akaja akasema niliwadanganya na yule alikuwa sio isa ila ni clone yake
Na allah akaanza kuwalaani wale walio amini uongo wake
Issa alikuwa mjomba wame musa ? Hebu weka hapa hiyo aya naisubiri mkuu .
 
Issa alikuwa mjomba wame musa ? Hebu weka hapa hiyo aya naisubiri mkuu .
Kama Mariam ni dada wa Haruni.
Sasa si ndio Musa mjomba wa Issa hapo.
Issa wa Madina.
Au unasubiri usomewe hiyo
Aya.
Soma Sura ya Maryam utaiona.


"19:28 - Ewe dada yake Harun! Baba yako hakuwa mtu muovu, wala mama yako hakuwa kahaba."

Ujomba ulianzia hapo.
Au unataka kubishana na Allah, mjuzi wa yote.
 
Issa haijulikani alikiwepo lini ,koran inasema alikuwa mjomba ake musa

Pia issa alisulubiwa kwa mujibu wa koran allah alidanganya watu kwa Kuweka isa bandia msalabani ,ndipo hapo allah akatengeneza dini ambayo iliamini isa kasalubiwa kwa uongo wake , allah akakaa miaka zaidi ya elfu akaja akasema niliwadanganya na yule alikuwa sio isa ila ni clone yake
Na allah akaanza kuwalaani wale walio amini uongo wake
Kaka spensa_e: wewe ni Legend killer. I salute you!! Jeshi la mtu mmoja. Unajua sana dini ya uislamu na uzuri unatoa reference ndani ya kitabu chao. Unatisha.
 
Huwa nataka mtu akiri kwanza ndio nimlipue ili usileta sababu za kitoto
Naanza na injili kama ulivyo Nukuu kutoka kwa Yohana 17 transilation ya SUV
  • Yesu akasema "Baba, saa imekwisha kufika" Je unaamini Yesu ana Baba ambae yupo mbinguni?
    • 1 Maneno hayo aliyasema Yesu; akainua macho yake kuelekea mbinguni, akasema, Baba, saa imekwisha kufika. Mtukuze Mwanao, ili Mwana wako naye akutukuze wewe;
  • Yesu anasema amepewa mamlaka juu ya wote wenye mwili na kwamba atawapa wote wenye mwili uzima wa milele, Je unaamini hili?
    • 2 kama vile ulivyompa mamlaka juu ya wote wenye mwili, ili kwamba wote uliompa awape uzima wa milele.
  • Yesu anasema uzima wa milele ndio huu wamjue aliemtuma ambae hapo juu Yesu kasema ni Baba yake ndio kamtuma!! upo na unaelewa?
    • 3Na uzima wa milele ndio huu, Wakujue wewe, Mungu wa pekee wa kweli, na Yesu Kristo uliyemtuma.
  • Yesu anasema amemtukuza Baba yake na amemaliza alichotumwa kufanya , kimetajwa hapo juu atupe uzima wa milele, Unaamini uzima wa milele tunapata kupitia Yesu?
    • 4Mimi nimekutukuza duniani, hali nimeimaliza kazi ile uliyonipa niifanye.
  • Yesu anasema alikuwepo kabala ya ulimwengu kuwepo na Alikuwa na Baba pamoja, Yesu hapa najizihirisha Yeye na Baba ni wamoja na kwa ku copy kwako hapa inamaana unaamini Yesu ni Mungu au umejikopia tu vitabu havikuhusu?
    • 5 Na sasa, Baba, unitukuze mimi pamoja nawe, kwa utukufu ule niliokuwa nao pamoja nawe kabla ya ulimwengu kuwako.
Nimemaliza maswali yangu bila kuweka hypocrisy jibu hayo maswali? nipo
Code:
* Yesu akasema "Baba, saa imekwisha kufika" Je unaamini Yesu ana Baba ambae yupo mbinguni?


NDIYO KWA SABABU BABA YAKE YESU NDIYE BABA WA WANAISRAEL WOTE:

Yesu anasema

Yohana 20:17

Yesu akamwambia, “Usinishike, kwa maana sijapaa kwenda kwa Baba. Lakini nenda kwa ndugu zangu ukawaambie, ‘Ninapaa kwenda kwa Baba yangu ambaye ni Baba yenu, kwa Mungu wangu ambaye ni Mungu wenu.’ ”


Code:
* Yesu anasema amepewa mamlaka juu ya wote wenye mwili na kwamba atawapa wote wenye mwili uzima wa milele, Je unaamini hili?

HAPANA SIAMINI KWA 7BU YESU ALITUMWA KWA WANAISRAEL TU NAMI SIMWANA WA ISRAEL:

Yesu anasema:

Mathayo 15:24

Akajibu, akasema, Sikutumwa ila kwa kondoo waliopotea wa nyumba ya Israeli.

Lakini pia Yesu siku chache kabla ya mateso aliwagiza wanafunzi wake hivi:

Mathayo 10:23

Lakini watakapowafukuza katika mji huu, kimbilieni mwingine; kwa maana ni kweli nawaambia, Hamtaimaliza miji ya Israeli, hata ajapo Mwana wa Adamu.

Mpaka leo Mwana na Adamu hajarudi lakini kina Paul kitambooo walijigeuzia mazuzu wao kina nyinyi.

Code:
* Yesu anasema uzima wa milele ndio huu wamjue aliemtuma ambae hapo juu Yesu kasema ni Baba yake ndio kamtuma!! upo na unaelewa?

YOHANA 20:17 imeshamaliza.

* 3Na uzima wa milele ndio huu, Wakujue wewe, Mungu wa pekee wa kweli, na Yesu Kristo uliyemtuma.

Huu ndiyo msingi wa Uislamu,Mungu ni Mungu na Yesu ni Mtume wa Mungu.

Code:
* Yesu anasema amemtukuza Baba yake na amemaliza alichotumwa kufanya , kimetajwa hapo juu atupe uzima wa milele, Unaamini uzima wa milele tunapata kupitia Yesu?

HAPANA KWA SABABU HILI NI KWA WATU WALE TU ALIOPEWA YESU:

YOHANA 17:6
Jina lako nimewadhihirishia watu wale ulionipa katika ulimwengu; walikuwa wako, ukanipa mimi, na neno lako wamelishika.

Na kwa kuthibitisha hilo akaongeza hivi:

YOHANA 17:9
Mimi nawaombea hao; siuombei ulimwengu; bali hao ulionipa, kwa kuwa hao ni wako;

Code:
* Yesu anasema alikuwepo kabala ya ulimwengu kuwepo na Alikuwa na Baba pamoja, Yesu hapa najizihirisha Yeye na Baba ni wamoja na kwa ku copy kwako hapa inamaana unaamini Yesu ni Mungu au umejikopia tu vitabu havikuhusu?*

YOHANA 20:17 ilishamaliza uchakachuaji wote.
Yesu ni Mungu mwenye Mungu!Ujinga huo mnao nyinyi tu wapiga makofi kanisani

KARIBU TENA NIENDELEE KUKUPA TUITION .
 
Back
Top Bottom