Jc Simba
JF-Expert Member
- Mar 23, 2017
- 300
- 422
Hapa kuna kitu kikubwa nimekieleea ingawaje kuna vingine hujaviweka ambayo naona ni muhimu mno ambao nao ni ugaidi tu uliokithiri.
Moja suala la Taleban kutumika kuisambaratisha Rassia kwenye vita baridi.Osama,Muller na wenzie
Lingine kuna kina Savimbi kule Angola walitumika kuiba rasilimali muda na Vito kwa maslahi ya Marekani kwa kipindi kirefu sana mpaka C.I.A mmoja alipokuja kusema kwamba ni nchi Yake inafund Savimbi ndio wamarekani wakasaidia kumuua.
Umeacha kuzungumzia biashara ya Madawa ya kulevya waliyoilea America kusini kupitia Noriega ili kulinda maslahi yao eneo hilo.
Hujaonyesha ni jinsi gani wamechangia ugaidi na machafuko mashariki ya kati wakianzia Iraq na kusambaza sehemu nyingine za Waarabu kupitia Isis.
Zungumzia pia wanavyotumia bahari ya Somalia kusafirisha malighafi na baadhi ya Vitu kupitia mgongo wa Alshabab .
Ila angalao umeonyesha kuwa kuna mikono ya hawa watu wakubwa tunaowaamini kwenye maovu yatokeayo kwenye ulimwengu huu.
Moja suala la Taleban kutumika kuisambaratisha Rassia kwenye vita baridi.Osama,Muller na wenzie
Lingine kuna kina Savimbi kule Angola walitumika kuiba rasilimali muda na Vito kwa maslahi ya Marekani kwa kipindi kirefu sana mpaka C.I.A mmoja alipokuja kusema kwamba ni nchi Yake inafund Savimbi ndio wamarekani wakasaidia kumuua.
Umeacha kuzungumzia biashara ya Madawa ya kulevya waliyoilea America kusini kupitia Noriega ili kulinda maslahi yao eneo hilo.
Hujaonyesha ni jinsi gani wamechangia ugaidi na machafuko mashariki ya kati wakianzia Iraq na kusambaza sehemu nyingine za Waarabu kupitia Isis.
Zungumzia pia wanavyotumia bahari ya Somalia kusafirisha malighafi na baadhi ya Vitu kupitia mgongo wa Alshabab .
Ila angalao umeonyesha kuwa kuna mikono ya hawa watu wakubwa tunaowaamini kwenye maovu yatokeayo kwenye ulimwengu huu.