Chimbo la perfume, mafuta ya ngozi na nywele kwa jumla Kariakoo

ormystatus

Member
Nov 3, 2019
88
176
Habari za mda huu wadau.

Naomba kuuliza wapi naweza pata perfume, mafuta ya nywele na ngozi mazuri kwa bei ya jumla hapa kariakoo.
Na namna uuzaji wao ulivo kama wanauza kwa pc au kupima.

Natanguliza shukrani.

KWENYE SUBJECT NIMEMAANISHA NYWELE NIMESHINDWA KUFANYA EDITING.
 
Habari za mda huu wadau.
Naomba kuuliza wapi naweza pata perfume, mafuta ya nywele na ngozi mazuri kwa bei ya jumla hapa kariakoo.
Na namna uuzaji wao ulivo kama wanauza kwa pc au kupima.

Natanguliza shukrani.

KWENYE SUBJECT NIMEMAANISHA NYWELE NIMESHINDWA KUFANYA EDITING.
Nipigie 0713039875 ndio eneo langu
 
Mzigo huo hapo fresh from kiwandani
0769922210View attachment 1974686
IMG_20211014_131628_562.jpg
View attachment 1974687
 
Njoo Pm ,nipigie 🤫🤫🤫
How comes mfanya biashara aliye jukwaa la wazi Kama hili asiweke taarifa ya bidhaa take,amtak3 mtu mmoja aende chemba ?!
 
Habari za mda huu wadau.
Naomba kuuliza wapi naweza pata perfume, mafuta ya nywele na ngozi mazuri kwa bei ya jumla hapa kariakoo.
Na namna uuzaji wao ulivo kama wanauza kwa pc au kupima.

Natanguliza shukrani.

KWENYE SUBJECT NIMEMAANISHA NYWELE NIMESHINDWA KUFANYA EDITING.
Husaidia KWENYE KUJUA SURA ZINAZOTAKIWA KUMILIKI MALI!? MAANA NYWEWE ZA RASI ZILITUMIKA KUJENGEA GOROFA
 
1 Reactions
Reply
Back
Top Bottom