Mung Chris
JF-Expert Member
- Sep 12, 2017
- 3,367
- 3,778
- Thread starter
- #21
ndege JOHN nambie duka specific ambalo umelipenda sana na huwa unakuta vitu vya uhakika mtaa upi.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Biashara za wabongo zina janjajanja sana.Niliwahi kuvunja la mashuka lenyewe wameandika mashuka 46 kwa juu ila nilipofungua nikakuta 43...sijui waga wananyofoa
Me nanunua kwa mtu halafu sio Dar me nipo singida Kaka..huyo mmama ninayenunu kwake ye Ana uzoefu anatumiwa tu anapokea mzigo anatuuzia sisi..ila ndo hivo laki sitandege JOHN nambie duka specific ambalo umelipenda sana na huwa unakuta vitu vya uhakika mtaa upi
Singida town...halafu hili ndo dox langu la Kwanza la mashati kufungua..last week nilifungua la shuka nikaona nijaribu na la mashati Nina siku nne toka nilifungueOfisi yako iko wapi!?
Oh ok sawaMe nanunua kwa mtu halafu sio dar me nipo singida Kaka..huyo mmama ninayenunu kwake ye Ana uzoefu anatumiwa tu anapokea mzigo anatuuzia sisi..ila ndo hivo laki sita
Komaa tu mzee, kila kitu kinawezekana..Jumamosi naanza kwenda nazo mnadani
aisee grade kali sanaMengine makali mpaka unashangaa huyu mzungu ilikuaje akalitupaView attachment 1722860
Nahisi kwa dar huko unaeza kuta mpaka 500k..Kama huku limesafirishwa na bado tumeuziwa na mfanyabiashara kwa laki sitaNinavyoona hizi nguo unaweza ukaziweka dukani kwenye enka kabisa wanunue
Mkuu nipo singida nataka hilo shat aise upo wap nijeMengine makali mpaka unashangaa huyu mzungu ilikuaje akalitupaView attachment 1722860
Daaah we jamaa mbona una mashat mazur hivi??DOUBLE POCKETView attachment 1722861
Nipo karakana mkuu karibu Sana itakuwa vzr tukifahamiana...karakana ulizia kanisa jipla la KKKTMkuu nipo singida nataka hilo shat aise upo wap nije
Bado yapo ki bao nimefungua Belo juzi tu nilinunua pale ukombozi kwa mama Ahmed Kama unamjua anauzaga mitumba ya makotiDaaah we jamaa mbona una mashat mazur hivi??
Mi mgen huku nipo na miez miwil sasaNipo karakana mkuu karibu Sana itakuwa vzr tukifahamiana...karakana ulizia kanisa jipla la KKKT