Molemo post gani iliokusababishia Ban mkuu?
haya maneno wanaweza kuwaambia wahariri wao wa habari kwenye vyombo vyao vya serikali+chama-si hiz tv/radio binafsi.Naibu katibu mkuu wa CCM John Chiligati ameshutumu tabia ya vyombo vya habari kushupalia suala la wanachama wanaotoka CCM kwenda kujiunga na CDM.
Chiligati ameshauri vyombo vya habari kuandika mambo ya msingi yanayohusu maendeleo ya watanzania na si kila siku kuandika habari za wanaCCM wanaojiunga CDM.
Chiligati alikasirishwa na maswali ya waandishi kumtaka atoe maoni yake kuhusiana na wimbi la wanachama na viongozi wanaojiunga CDM kutokea CCM.
Source:Tanzania daima.
mambo gani ya maendeleo unataka yaandikwe? kama serikali ya CCM haina mambo ya maendeleo inayofanyia wananchi waandishi waandike nini. Kuandikwa kwa wanachama wa CCM wanaojiunga CDM ni suala la maendeleo pia kwani si inaonyesha CDM inaendelea kuliko CCM? pia hilo ni angalizo kwa CCM wajipange ili kutekeleza ahadi zao walizo haidi wakati wa kampeni ili wakubalike.
Maendeleo yenyewe hakuna sasa unataka waandike kitu ambacho hakipo!!, CCM ndiyo imetuleteza haya maafa na vilio vya kufa na kusaga meno, kitendo cha wana CCM kuamia CDM hakiwezi kufumbiwa macho lazima kisemwe kwani kinadhiira ni namna gani watu wameanza kujikomboa kifikra.
Molemo post gani iliokusababishia Ban mkuu?
Naibu katibu mkuu wa CCM John Chiligati ameshutumu tabia ya vyombo vya habari kushupalia suala la wanachama wanaotoka CCM kwenda kujiunga na CDM.
Chiligati ameshauri vyombo vya habari kuandika mambo ya msingi yanayohusu maendeleo ya watanzania na si kila siku kuandika habari za wanaCCM wanaojiunga CDM.
Chiligati alikasirishwa na maswali ya waandishi kumtaka atoe maoni yake kuhusiana na wimbi la wanachama na viongozi wanaojiunga CDM kutokea CCM.
Source:Tanzania daima.
Mkuu wangu Mibas kilichosababisha nilichongewa na memba mmoja wa magamba kwamba nimemuita Faiza Foxy.
Naibu katibu mkuu wa CCM John Chiligati ameshutumu tabia ya vyombo vya habari kushupalia suala la wanachama wanaotoka CCM kwenda kujiunga na CDM.Chiligati ameshauri vyombo vya habari kuandika mambo ya msingi yanayohusu maendeleo ya watanzania na si kila siku kuandika habari za wanaCCM wanaojiunga CDM.
Chiligati alikasirishwa na maswali ya waandishi kumtaka atoe maoni yake kuhusiana na wimbi la wanachama na viongozi wanaojiunga CDM kutokea CCM.
Source:Tanzania daima.
Karibu tena mkuu Molemo, tunaendelea kuwakimbiza wameshaishiwa pumzi ulimi nje wanaomba mpira uishe mapema. Chiligati anataka kuwachagulia waandishi cha kuandika, eti waandike habari za maendeleo zipi kama waandishi hawazioni wataandika maendeleo yepi.Ni kweli mkuu nilikuwa Arusha na niliona yale mapipa yalivyojaa kadi za magamba..
Basi walikuonea mbona humu watu wana-quess majina ya watu kutokana post zao, kwa mfano William Le Mutuz @ Segerea wanadhani ni FMEs na kazi zinasonga mbele kama kawa sijaona mtu amepigwa ban kwa hilo.Mkuu wangu Mibas kilichosababisha nilichongewa na memba mmoja wa magamba kwamba nimemuita Faiza Foxy.
Ni mambo yapi ya maendeleo unayaona yakiendelea wewe gamba? Jenga hoja acha uvivu wa kufikiri. Kwa taarifa yako kuvua gamba na kuvaaa gamba ni hatua mojawapo katika kuelekea katika maendeleo. Hakuna m2 wa kulishwa kasa zama hizi mtakoma!!!!chilgat yupo sahihi kabisa, yawapasa waandish wa habari waandike mambo yamaendeleo katika jamii, siyo kila siku cdm na ccm mpaka lini!!?? wajaribu kuzungumza mambo yanayomgusa kila mtanzania kwa upande wake, tunatengeneza nchi siyo chama.
Kuwa na IDs mingi