Chiku Gallawa: Wakazi wa Mkoa wa Dodoma wamedumaa kiakili

barafu

JF-Expert Member
Apr 28, 2013
6,726
32,818
Asilimia 56 ya wakazi wa mkoa wa Dodoma wamedumaa kiakili kufuatia kukosekana kwa chakula hali inayotajwa kuchangia pia wakazi wa mkoa huo kuwa ombaomba.

Mkuu wa Mkoa wa Dodoma Luteni Mstaafu Chiku Gallawa anasema pamoja na mkoa huo kuongoza katika uchaguzi Mkuu mwaka jana lakini umekuwa nyuma sana katika huduma za jamii zikiwemo Lishe, Elimu na Maabara.

Hivi karibuni mkoa huu umeripotiwa kukumbwa na njaa kali hasa katika wilaya ya Chamwino kata ya Majereko ambapo wakazi wake walilazimika kutumia wadudu aina ya viwavi jeshi kama chakula.

Katika kikao cha Halmashauri kuu ya Mkoa huu ya Chama Cha Mapinduzi CCM Mkuu wa Mkoa huu luteni Mstaafu Chiku Galllawa amethibitisha hali hiyo.

Chanzo:
ITV
 
silimia 56 ya wakazi wa mkoa wa Dodoma wamedumaa kiakili kufuatia kukosekana kwa chakula hali inayotajwa kuchangia pia wakazi wa mkoa huo kuwa ombaomba.


Mkuu wa Mkoa wa Dodoma luteni Mstaafu Chiku Gallawa anasema pamoja na mkoa huo kuongoza katika uchaguzi Mkuu mwaka jana lakini umekuwa nyuma sana katika huduma za jamii zikiwemo Lishe, Elimu na Maabara.

Hivi karibuni mkoa huu umeripotiwa kukumbwa na njaa kali hasa katika wilaya ya Chamwino kata ya majereko ambapo wakazi wake walilazimika kutumia wadudu aina ya viwavi jeshi kama chakula.

Katika kikao cha Halmashauri kuu ya Mkoa huu ya Chama Cha Mapinduzi CCM Mkuu wa Mkoa huu luteni Mstaafu Chiku Galllawa amethibitisha hali hiyo.


MATUSI HAYO WANASTAHILI WANA DODOMA HATA BAADA YA KUWAPA CCM KURA KWA ASILIMIA 80% ??? NDIO ANA YAKE KUAMBIWA WANA MTINDIO WA UBONGO,,
 
Haya mananchi ya dodoma hakiyanani sijui yamerogwa.yenyewe ndo yamebaki na ccm hadi leo na umaskini walionao.
 
  • Thanks
Reactions: PNC
Chemba - Juma Nkamia (CCM)

Bahi - Omar Ahmed Badwel (CCM)

Kibakwe - George Simbachawene (CCM)

Mpwapwa -George Malima Lubeleje (CCM)

Mtera - Livingstone Lusinde Kibajaji (CCM)

Chilonwa - Joel Mwaka (CCM)

Dodoma Mjini - Antony Peter Mavunde (CCM)

Kongwa - Job Ndugai (CCM)

Kondoa Mjini - Sanda Edwin (CCM)

Kondoa Vijijini - Dkt. Ashatu Kijaji (CCM)
 
Tatizo jamii ya hivi lazima nao watazaa watoto waliodumaa akili (matahira) na chain inazidi kwenda vizazi vijavyo navyo ni hivyohivyo na hapa ndipo CCM wanachekelea
 
Asilimia 56 ya wakazi wa mkoa wa Dodoma wamedumaa kiakili kufuatia kukosekana kwa chakula hali inayotajwa kuchangia pia wakazi wa mkoa huo kuwa ombaomba.


Mkuu wa Mkoa wa Dodoma Luteni Mstaafu Chiku Gallawa anasema pamoja na mkoa huo kuongoza katika uchaguzi Mkuu mwaka jana lakini umekuwa nyuma sana katika huduma za jamii zikiwemo Lishe, Elimu na Maabara.

Hivi karibuni mkoa huu umeripotiwa kukumbwa na njaa kali hasa katika wilaya ya Chamwino kata ya Majereko ambapo wakazi wake walilazimika kutumia wadudu aina ya viwavi jeshi kama chakula.

Katika kikao cha Halmashauri kuu ya Mkoa huu ya Chama Cha Mapinduzi CCM Mkuu wa Mkoa huu luteni Mstaafu Chiku Galllawa amethibitisha hali hiyo.
Source:ITV on line
Kuna ukweli hapo. Mwalimu alijaribu kuhamishia ikulu Dodoma akifikiri atawaendeleza, lakini wapi? Bila kusahau omba omba wengi barabarani ni wenyeji wa Dodoma. Hata hivyo asilimia nyingine wako vizuri sana. Nakubaliana na tathmini ya Kamishna Chiku.
 
duuhhhh
this may sound insulting

ila lakini ukitafakari watu wanaoweza kumchagua tena Livingstone Lusinde kuwa mbunge wao,.....something is wrong with them
 
MATUSI HAYO WANASTAHILI WANA DODOMA HATA BAADA YA KUWAPA CCM KURA KWA ASILIMIA 80% ??? NDIO ANA YAKE KUAMBIWA WANA MTINDIO WA UBONGO,,
Juma Nkamia pamoja na Lusinde hawatakubali haya matusi..Watu wametangaza hadi BBC uje useme wamedumaa kiakili..?
 
Back
Top Bottom