Chifu Mwangupili wa Unyakyusa na Ibara 29:3,4

Uchaguzi ukiisha nitabadili jina na kujiita Chifu Ngabu.....kama nikivunja katiba msinishitaki....
 
wajameni hivi hawa watu wa kyela wamerogwa? haono kwamba ni fedheha na aibu kwa kabila zima la wanyakyusa kumtunukua kiwete heshima hii? kwa lipi jema aliloifanyia tanzania? kuwalinda mafisadi?

uchifu hata kama ni symbolic siyo peremende! wanyakyusa na viongozi wenu msitutie aibu. hili ni doa kubwa. sasa inabidi mkae, mkishamaliza kunyoosheana vidole, muweke criteria na sifa ambazo mtu anatakiwa awenazo ili mumtunuku huo uchifu. la sivyo mtaishi kuwatunuku wasanii!!
 
wajameni hivi hawa watu wa kyela wamerogwa? haono kwamba ni fedheha na aibu kwa kabila zima la wanyakyusa kumtunukua kiwete heshima hii? kwa lipi jema aliloifanyia tanzania? kuwalinda mafisadi?

uchifu hata kama ni symbolic siyo peremende! wanyakyusa na viongozi wenu msitutie aibu. hili ni doa kubwa. sasa inabidi mkae, mkishamaliza kunyoosheana vidole, muweke criteria na sifa ambazo mtu anatakiwa awenazo ili mumtunuku huo uchifu. la sivyo mtaishi kuwatunuku wasanii!!

....exactly!!!!,

i hope they will revisit their criterias.......kwi kwi kwi kwi kwi
 
nyerere alifuta uchifu upande mmoja lakini upande wa pili yeye aliendelea kumtii na kumtambua chifu wa kabila lake..chifu wanzagi....,hata chifu wanzagi alipokufa ni yeye aliyeongoza kumsimika chifu wa sasa wa wazanaki chifu japhet wanzagi.....anayesimamia mila na tambiko za wazanaki...

uamuzi wa kufuta uchifu ulikuwa wa kisiasa ...lakini umuhimu wa machifu upoo...wangeweza kuwaondolea tu authorative powers na wakawaacha na title na jukumu la kusimamia mila na tamaduni za kabila husika.....kwa namna moja ingesaidia kusimamia maadili ya taifa iwapo machifu wangetumika vema.....

hivi kuna chifu mmoja alikuwa anaitwa MWAMI THERESA wa kigoma .....mbona hatusikii hata traces zake????..nasikia she was very powerful!!
 
Kwa hiyo Wanyakyusa (akina Mtanzania) wamekubali Mwangupuli (Kikwete) kuwa Chifu wao!!!!............my God!........i don't want to believe this......kwi kwi kwi kwi kwi


Wewe unatafutwa kupigwa kwa kweli...wallah tena.!

Wanatufedhehesha sana hawa wazee wa huko Kyela!
 
Original story ndiyo hiyo uliyoiweka wewe au? Maana nimerudia tena kusoma na hakuna sehemu inayoonyesha huyo anayemvika magwanda Kikwete kuwa ni chifu of sort unless umefikia hiyo conclusion kwa sababu na yeye kavaa hiyo migwanda.... Sana sana kilichosemwa ni kwamba Chifu Mwangupili (Kikwete) alikuwa ni babu wa Chifu Magombe Mwakusya ambaye "alikuwa" chifu wa eneo la Kyela......

inabidi tuwachunguze hao waliompa inawezekana kuna kitu wanataka(rushwa ya cheo) au mafisadi? isijekuwa wamewalazimisha ili afanane na lowasa mhh ndo stail mpya? au nikutudanganya bado anakubalika?
 
nyerere alifuta uchifu upande mmoja lakini upande wa pili yeye aliendelea kumtii na kumtambua chifu wa kabila lake..chifu wanzagi....,hata chifu wanzagi alipokufa ni yeye aliyeongoza kumsimika chifu wa sasa wa wazanaki chifu japhet wanzagi.....anayesimamia mila na tambiko za wazanaki...

uamuzi wa kufuta uchifu ulikuwa wa kisiasa ...lakini umuhimu wa machifu upoo...wangeweza kuwaondolea tu authorative powers na wakawaacha na title na jukumu la kusimamia mila na tamaduni za kabila husika.....kwa namna moja ingesaidia kusimamia maadili ya taifa iwapo machifu wangetumika vema.....

hivi kuna chifu mmoja alikuwa anaitwa MWAMI THERESA wa kigoma .....mbona hatusikii hata traces zake????..nasikia she was very powerful!!

Jambo lolote likitendwa kwa kuifurahisha serikali iliyoko madarakani huwa linaonekana ni sahihi. Imetamkwa hapo juu kuwa kuna vifungu katika katiba vinavyozungumzia kutokuwa na machifu. Lakini haohao viongozi wanazungumzia na kufanya hayohayo yaliyoandikwa kwenye katiba kuwa hayafai (kama hili la kumsimika rais kuwa chifu, ingekuwa mchezo wa kuigiza nisingeshangaa). Kama katiba ilishakataza tunawatawaza ili iwe nini? Kama jambo limekatazwa kikatiba linafanyiwa mfano ili iwe nini? Kwangu mimi hata kuwaita kwa kutanguliza Cheo cha Uchifu kama ilivyokuwa kwa Chifu Mkwawa (Spika wa Zamani). Chifu Fundikira ni kukaribisha hisia za uchifu ambazo katiba imeziondoa. Tukumbuke sasa hivi ninavyoandika kuna kesi Mahakama Kuu Tabora ya kumkipinga kumsimika "Chifu" Msagata Ngulati Fundikira aliyesimikwa hivi majuzi. Inawezekana kuna ulaji, ndio maana wanashtakiana. Sasa, tayari jambo lililokatazwa kikatiba linarudishwa Mahakama Kuu kusikilizwa. Jambo ambalo lisingepigiwa debe na viongozi wa kisiasa lisingekuwepo kabisa.
Huyo Chifu Josephat Wanzagi kapewa uchifu ili aongoze nini. kama masuala ya uchifu yalishakatazwa, kuyarudia rudia ni kukaribisha hisia za ukabila.
 
wajameni hivi hawa watu wa kyela wamerogwa? haono kwamba ni fedheha na aibu kwa kabila zima la wanyakyusa kumtunukua kiwete heshima hii? kwa lipi jema aliloifanyia tanzania? kuwalinda mafisadi?

uchifu hata kama ni symbolic siyo peremende! wanyakyusa na viongozi wenu msitutie aibu. hili ni doa kubwa. sasa inabidi mkae, mkishamaliza kunyoosheana vidole, muweke criteria na sifa ambazo mtu anatakiwa awenazo ili mumtunuku huo uchifu. la sivyo mtaishi kuwatunuku wasanii!!

Tumemtunuku URAIS wa NCHI, itakuwa hii ya Uchifu wa Kyela? Naona tunatania! 2010 ni Rais tena au....???
 
Hawa wazee wanajikomba kwa rais angalau awape hata ujumbe wa nyumba kumi kumi...
kwi !kwi !kwi !kwi !kwi!
 
Hawa wazee wanajikomba kwa rais angalau awape hata ujumbe wa nyumba kumi kumi...
kwi !kwi !kwi !kwi !kwi!

Inaonekana baadhi yetu tunadhani mitazamo, maoni, misimamo yetu ndio sahihi pekee. Mazuri ya JK kama Kiongozi na kama BINADAMU yapo. Kama hatuyaoni ni KIBURI tu cha KAWAIDA!
 
Very funny indeed. Mwami is masculine yet Theresa is feminine. The femini´ne of mwami should be mwamikazi. Can somebody explain?
 
Mwanakijiji,

kwanza hilo jina, spelling zake ni MWANKUPILI, ile baada ya 'n' ni 'k' sio 'g', ndivyo linavyoandikwa kule Kyela.

Pili, nadhani haina shida yoyote hicho cheo, ni masifa tu ambayo kimsingi ni 'unafiki' tu, nina uhakika hao wanyakyusa hawamaanishi wanachosema kwa kumpa JK uchifu huo. Tena hatokani na nasaba ya chifu Mwankupili, kwa ujumla hakuna alichopewa.

Tatu, msishangae sasa hivi kwani bado hajapewa 'vyeo' vyote ambavyo 'lobbyists' huwapa watawala. Bado hajapewa degree za heshima, ukaazi wa heshima, kuwa 'mwanaukoo' (ati hata Mkapa ni 'mwanaukoo' wa Nyerere, na kwenye urithi alipewa ng'ombe!), na mengine mengi!

Mwacheni Chifu Mwankupili II afurahie 'title' yake mpya, bado nyingine zinakuja!

Mkuu Kithuku,
Uko sahihi kabisa. Jina "Mwankupili" ndio jina sahihi, na sio "Mwangupili". Jina hili hata katika kabila la Wasafwa wanalo, haswa pale Uyole Mbeya. Sasa kumpa Kikwete jina hili haina maana kwamba ndio kawa chifu
 
Mzee Mwanakijiji,

Hii hoja ya Uchifu na Katiba naona uiache pembeni maana hata ukichaaambua namna gani na kuwa kuna udhaifu, bado Mwankupuli II ataendelea kuwa Chifu wa kusadikika kule Kyela.

Ni sawa na yule Mgombea wa Urais wa chama cha Republican Yohana Makene anavyokosa hoja kumbomoa Obama.

Lets be like Obama, tuonyeshe udhaifu wa Kikwete na labda cha umuhimu kuwa siku alipobatizwa kuwa Mwankupuli, alitoa kebehi, dharau na kuudanganya umma. Tukimpiga nyundo kwa hilo, basi kama Yohana Makene anavyochechemea kwenye mchakato wa Uchaguzi, ndivyo Mwankupuli atakavyo dorora!

Kwa Mtanzania na Ogah, add Kithuku,

Je Kyela ndio makao makuu ya Mwankupuli wa kwanza? ina maana Rungwe, Mbeya mjini, Mbeya vijijini na wilaya nyingine na WanyaChusa wake walikuwa chini ya Kyela?

KUna mtu kauliza, je Mwakipesile ndio kawatia dole kwatika jicho Mwandosya na Mwakyembe? Je Kasyupa wa Kyela alitumika vipi hapa kutoa hii nishani ya juu ya WanyaChusa?
 
Mzee Mwanakijiji,

Hii hoja ya Uchifu na Katiba naona uiache pembeni maana hata ukichaaambua namna gani na kuwa kuna udhaifu, bado Mwankupuli II ataendelea kuwa Chifu wa kusadikika kule Kyela.

Ni sawa na yule Mgombea wa Urais wa chama cha Republican Yohana Makene anavyokosa hoja kumbomoa Obama.

Lets be like Obama, tuonyeshe udhaifu wa Kikwete na labda cha umuhimu kuwa siku alipobatizwa kuwa Mwankupuli, alitoa kebehi, dharau na kuudanganya umma. Tukimpiga nyundo kwa hilo, basi kama Yohana Makene anavyochechemea kwenye mchakato wa Uchaguzi, ndivyo Mwankupuli atakavyo dorora!

Kwa Mtanzania na Ogah, add Kithuku,

Je Kyela ndio makao makuu ya Mwankupuli wa kwanza? ina maana Rungwe, Mbeya mjini, Mbeya vijijini na wilaya nyingine na WanyaChusa wake walikuwa chini ya Kyela?

KUna mtu kauliza, je Mwakipesile ndio kawatia dole kwatika jicho Mwandosya na Mwakyembe? Je Kasyupa wa Kyela alitumika vipi hapa kutoa hii nishani ya juu ya WanyaChusa?

Mkuu "Marcus Garvey" ...................vipi tena ndg yangu.........sisi ni wala ndizi kama wao..........lakini hatuwezi kumtunuku JK na kumpa "umwangupuli" kama hawa wenzetu walivyofanya........check our past records........

.....infact hawa jamaa wametu-letdown kinoma aisee!!!
 
Ni sawa na yule Mgombea wa Urais wa chama cha Republican Yohana Makene anavyokosa hoja kumbomoa Obama.

Lets be like Obama ...Tukimpiga nyundo kwa hilo, basi kama Yohana Makene anavyochechemea kwenye mchakato wa Uchaguzi, ndivyo Mwankupuli atakavyo dorora!

Una assume kwamba kila mtu hapa anamwelekeo kama wako katika upande uliouchagua wewe katika uchaguzi huo. Unapotuma madongo au utani wa kumchamba mgombea fulani hakikisha wote unaoongea nao ni kondoo wa kundi hilo hilo moja na wewe. Unless kama unampigia kampeni mtu wako. Na hata hapo pia, ukijichanganya sehemu sehemu na siasa zisizotakiwa unaweza ukasubiriwa na walevi kichakani na mawe!
 
Una assume kwamba kila mtu hapa anamwelekeo kama wako katika upande uliouchagua wewe katika uchaguzi huo. Unapotuma madongo au utani wa kumchamba mgombea fulani hakikisha wote unaoongea nao ni kondoo wa kundi hilo hilo moja na wewe. Unless kama unampigia kampeni mtu wako. Na hata hapo pia, ukijichanganya sehemu sehemu na siasa zisizotakiwa unaweza ukasubiriwa na walevi kichakani na mawe!


......kwi kwi kwi kwi........weee subiri Chifu Ngabu aione hii kwi kwi kwi
 
Back
Top Bottom