Ogah,
Unafikiri hapo kuna ujanja? Kumejaa ujinga mtupu. Hakuna sababu ya kukimbilia kutibiwa Rungwe. Ni yale yale ya akina JK kuua afya kisha wao kukimbilia Ulaya kutibiwa.
Hapo tumefungwa goli moja na hao jamaa wa Rungwe, inabidi tujibu.
Wewe Ogah unatuonea sana, tutakuzuia usivuke mto Songwe ukielekea ......
Unafikiri hapo kuna ujanja? Kumejaa ujinga mtupu. Hakuna sababu ya kukimbilia kutibiwa Rungwe. Ni yale yale ya akina JK kuua afya kisha wao kukimbilia Ulaya kutibiwa.
Hapo tumefungwa goli moja na hao jamaa wa Rungwe, inabidi tujibu.
Wewe Ogah unatuonea sana, tutakuzuia usivuke mto Songwe ukielekea ......