mwalimu wa historia aliuliza swali wanafunzi.
mwalimu;.hivi ni nani alimuua chifu mkwawa?
mwanafunzi wa kwanza: sio mimi....
mwanafunzi wa pili: wala sihusiki.....
mwanafunzi wa tatu: kwanza mimi jana sikuja shule..
mwalimu alipoona wanafunzi wote majuha akamuita mkuu wa shule. mkuu wa shule aliuliza swali lile lile, mambo yakawa vilevile. Ndipo mkuu wa shule alipomuita mwalimu pembeni na kumnong'oneza "LAK
INI UNA UHAKIKA MUUAJI YUPO DARASA HILI?
mwalimu;.hivi ni nani alimuua chifu mkwawa?
mwanafunzi wa kwanza: sio mimi....
mwanafunzi wa pili: wala sihusiki.....
mwanafunzi wa tatu: kwanza mimi jana sikuja shule..
mwalimu alipoona wanafunzi wote majuha akamuita mkuu wa shule. mkuu wa shule aliuliza swali lile lile, mambo yakawa vilevile. Ndipo mkuu wa shule alipomuita mwalimu pembeni na kumnong'oneza "LAK
INI UNA UHAKIKA MUUAJI YUPO DARASA HILI?