Chifu Mangosuthu anahutubia Wazulu, Wamgomea...

Marumeso

JF-Expert Member
Oct 3, 2009
1,410
1,313
Chifu Mangosuthu Buthelezi, kiongozi wa kimila wa kabila la kizulu anahutubia muda huu J'burg kujaribu kutuliza munkari wa vijana wake kuacha kushambulia watu wa mataifa mengine.

Vijana wamegomea hotuba yake wanaimbaimba zile nyimbo zao na hawajataka kumsikiliza kabisa. Hali ni tete jamaa wamebeba fimbo na ile mikuki yao huku wanaimbaimba zile nyimbo zao.

Ni hatari.



Source: SABC TV
 

Attachments

  • IMG_20190908_144832.jpg
    IMG_20190908_144832.jpg
    163.6 KB · Views: 47
Chifu Mangosuthu Buthelezi, kiongozi wa kimila wa kabila la kizulu anahutubia muda huu J'burg kujaribu kutuliza munkari wa vijana wake kuacha kushambulia watu wa mataifa mengine.

Vijana wamegomea hotuba yake wanaimbaimba zile nyimbo zao na hawajataka kumsikiliza kabisa. Hali ni tete jamaa wamebeba fimbo na ile mikuki yao huku wanaimbaimba zile nyimbo zao.

Ni hatari.



Source: SABC TV
Wapuuzi tu hao watu. Tatizo ni uzembe,starehe hasa pombe na uasherati
 
Ukisoma falsafa ya mwalimu Nyerere kuhusu ubaguzi utagundua kitu... Huenda mind za Hawa waSA dhidi ya wazungu ilikuwa kuwabagua... Kwamba wao si wakazi wa Africa kusini waondoke.. kinyume na alichokuwa anakipigania TATA yaaani usawa. Wote Ni sawa Mungu mmoja... Basi wakafanikiwa kumbagua mzungu yule... Baaada ya kufanikiwa wakatambua hata sisi sio wa south Bali Kuna wageni na wenyeji... Baaada ya kuwabagua wageni hawata kaa salama watatambua kwamba wapo miongoni mwao wanao miliki uchumi mkubwa na hapo ndipo watakapo anza kutamka sisi ni wazuru na wao Ni wa xhosa!
Dhambi ya ubaguzi Ni sawa na kula nyama ya mtu ukila nyama ya mtu utaendelea tuu kuila.
 
Hii ishu ni kubwa maana chifu ni mtu mkubwa sana kimila, chifu anaheshimiwa na kuogopwa lakini hapa jamaa wamempuuza na kumdharau kabisa. Hebu tuone nini kitatokea.

Wanataka serikali yao iwajibu ndani ya masaa 24 lini wahamiaji watarudi makwao.
 
Hao weusi yes I call them weusi huko SA ni walevi na wapuuzi
North America Europe zinajengwa na wahamiaji ndio maana kuna maendeleo
What the hell is SA
Natamani legit immigrants wahame waende nchi zingine zenye uhitaji.
Weupe wengi kutoka SA waliondoka walijua haya yatatokea
 
Nafikiri mzungu hakuzingatia sana kuwapa elimu, alitaka wabaki kuwa manamba maana nilitegemea kama wangepata elimu nzuri wengi wangeenda kujijenga nchi za nje na baadaye kuanza kurudi kumiliki uchumi wa nchi yao
 
Mzungu asingeijenga South Afrika kiasi hicho sidhani kama waafrika kutoka bara lote wangejazana huko.

Kwa sababu kabla ya Mzungu Wanguni walikuwa wakichomana Mikuki mpaka wakafikishana Ruvuma chini ya jemadari Shaka Zulu.

Sasa sijui King Goodwill Zwelethini yuko wapi?!
 
As taxi drivers , we are announcing that on the 9th of September 2019 from 08:00 am. We are going to kill all foreign nationals. We are declaring a strike from all the cities in KZN, Cape Town, Eastern Cape and all provinces. We are marching to the parliament. There shall be Blood-shed and fire smelling the whole South Africa. The President of the country has failed as well as police Minister has failed to deal with crime committed by foreign nationals. Minister of Home affairs Motsoaledi has also failed to prevent them from entering our boarders. Our children are addicts of drugs, high rate of crimes committed, child kidnapping and prostitution, fake certificates /qualifications, fake bank cards and teenage pregnancy. Our youth is unemployed; they are driving luxury cars, having churches, owning businesses on all the streets of South Africa. They do all fake goods and South Africa smells of churches owned by them. They own everything that we don’t have as South Africans. When and how did they enter in our country, we need an answer. Because our leaders were using the slogan “Thuma Mina (send me)”; now we are speeding up the process and fix everything. This is our land; their children are not addicted to nyaope / wunga as our children have and died. All these churches owned by them should be closed and if anyone will go to work on the 9th; we are going to kill whoever especially at the airports, home affairs and we are going to bomb the whole South Africa there will be shedding of blood. Smoke of guns and fire will smell the whole country. In KZN, everything will be closed we don’t want these people they must go back to their own country. We offer them Lesotho as Zulus, we are not scared. As the transport organisation we are saying the gates you used to come in are now open to leave. We are giving you until the weekend to leave, if you’ll still be here on Monday, we are taking the law into our hands as Zulus. In Mpumalanga we are going to destroy everything and anything. In JHB, Pretoria and Cape we are going to kill Nigerians, Ghanaians, Congolese, Tanzanians, Malawians, Zimbabweans, Mozambique’s, Chinese, Ethiopians, and Pakistanis. There is no business that will continue run by these people; we are going to burn the malls, we don’t want them. We will burn the trucks, all foreign nationals’ shops, internet café, sewing areas, we don’t want them all. Let them relocate and we will deal with the police by killing them because they are shooting at South Africans, protecting the foreign nationals. Let the country be destroyed even in 1976 we died for it, sleeping in the forests to be insulted by these dogs. . If local churches are not supporting us on fighting this, we will kill them; there is no train, bus, flight that is going to work. Whoever we will find going to work will be we will kill even those walking on the streets if they are not in support of chasing the foreign nationals. As police are arming, we are also arming ourselves with weapons, those who will die, let it be. Let there be a smell of blood in the streets, perishing and the land of our forefathers being claimed back.
UJUMBE AMBAO WASOUTH AFRIKA WANATUMIANA.
MARA YA KWANZA WALISEMA AJIRA, SASA WANASEMA UHALIFU, KISHA WANALALAMIKIA WINGI WA MAKANISA.
WIVU, UVIVU, UMALAYA, ULEVI NA UONGOZI MBOVU NDIO KIINI CHA TATIZO!
 
As taxi drivers , we are announcing that on the 9th of September 2019 from 08:00 am. We are going to kill all foreign nationals. We are declaring a strike from all the cities in KZN, Cape Town, Eastern Cape and all provinces. We are marching to the parliament. There shall be Blood-shed and fire smelling the whole South Africa. The President of the country has failed as well as police Minister has failed to deal with crime committed by foreign nationals. Minister of Home affairs Motsoaledi has also failed to prevent them from entering our boarders. Our children are addicts of drugs, high rate of crimes committed, child kidnapping and prostitution, fake certificates /qualifications, fake bank cards and teenage pregnancy. Our youth is unemployed; they are driving luxury cars, having churches, owning businesses on all the streets of South Africa. They do all fake goods and South Africa smells of churches owned by them. They own everything that we don’t have as South Africans. When and how did they enter in our country, we need an answer. Because our leaders were using the slogan “Thuma Mina (send me)”; now we are speeding up the process and fix everything. This is our land; their children are not addicted to nyaope / wunga as our children have and died. All these churches owned by them should be closed and if anyone will go to work on the 9th; we are going to kill whoever especially at the airports, home affairs and we are going to bomb the whole South Africa there will be shedding of blood. Smoke of guns and fire will smell the whole country. In KZN, everything will be closed we don’t want these people they must go back to their own country. We offer them Lesotho as Zulus, we are not scared. As the transport organisation we are saying the gates you used to come in are now open to leave. We are giving you until the weekend to leave, if you’ll still be here on Monday, we are taking the law into our hands as Zulus. In Mpumalanga we are going to destroy everything and anything. In JHB, Pretoria and Cape we are going to kill Nigerians, Ghanaians, Congolese, Tanzanians, Malawians, Zimbabweans, Mozambique’s, Chinese, Ethiopians, and Pakistanis. There is no business that will continue run by these people; we are going to burn the malls, we don’t want them. We will burn the trucks, all foreign nationals’ shops, internet café, sewing areas, we don’t want them all. Let them relocate and we will deal with the police by killing them because they are shooting at South Africans, protecting the foreign nationals. Let the country be destroyed even in 1976 we died for it, sleeping in the forests to be insulted by these dogs. . If local churches are not supporting us on fighting this, we will kill them; there is no train, bus, flight that is going to work. Whoever we will find going to work will be we will kill even those walking on the streets if they are not in support of chasing the foreign nationals. As police are arming, we are also arming ourselves with weapons, those who will die, let it be. Let there be a smell of blood in the streets, perishing and the land of our forefathers being claimed back.
UJUMBE AMBAO WASOUTH AFRIKA WANATUMIANA.
MARA YA KWANZA WALISEMA AJIRA, SASA WANASEMA UHALIFU, KISHA WANALALAMIKIA WINGI WA MAKANISA.
WIVU, UVIVU, UMALAYA, ULEVI NA UONGOZI MBOVU NDIO KIINI CHA TATIZO!
Wajinga tu hao wanaonea wanyonge,kama kweli wana hasira wakawaue wazungu na wageni wanaoishi kwenye Middle class suburbs,wakachome na nyumba ya Diamond,mbona huko hawafiki.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom