Usimlazimishe mwenzio hicho ndicho Kiingereza chake!Stay tuned na sio Stay tune
Kwani kampeni zimeshafunguliwa?Ni meya msitaafu wa manispaa ya Bukoba kwa akina Rwetabangula,Rweikiza ,etc
Kusema ukweli jamaa ana ushawishi wa kisiasa hatari, angekuwa mtumishi wa Jehova nafikiri hata shetani angetubu na kuacha ushetani wake.
Ikumbukwe kuwa,Chief Kalumuna mpaka alipofikia hapo ni malezi na taaluma nzuri aliyoipata akiwa CCM japo siku za nyuma Mwaka 2015 watu wachache ndani ya CCM walitaka kumharibia future yake ndipo alipokimbilia CHADEMA na hatimae akawa Meya.
Kwa jimbo la Bukoba Mjini bado ni sintofahamu kama upinzani utapoteza au la,maana jamaa ametia nia na ni asilimia kubwa anaweza kuchukua labda DJ zero akate jina lake maana hata kwenye uchaguzi ndani ya chama chao ngazi ya kanda alikuwa amemchapa fimbo za kutosha Wenje ila DJ zero kama kawaida akabadili gia angani jamaa akapolwa haki yake.
"Stay tuned BK is unpredictable"
Hivi mbona mnawadharau Sana wanawake?Kuhusu, kukata jina lake usipende kuwa kama Mwanamke ..
Ila ukweli chadema kwa Bukoba chief yuko na nguvu kubwa ..pia nimtu anayemjua Mungu sana . .kama kweli jina lake wakilikata basi naamia CCM.
Hicho chuma ndicho kimemkimbiza Rwakatare, akijichanganya tu na yeye kinampiga kwenye kura, bora awaachie wengine akwepe aibu!Kalumuna jina kubwa sana Bukoba nilifanya Kaka yake kaz Dar ,alimfania mke wake akitembea na DVO wa kinondoni kipindi cha JK na kumuacha bila kumwambia lolote wala kumdhuru mbaya wake..ni watu wa dini sana .
Halafu siasa za bk kihistoria ni za tofauti Sana ,huwa hawaangalii chama, ndio maana nahofia chama changu pendwa kisije pigwa chini tenaHicho chuma ndicho kimemkimbiza Rwakatare, akijichanganya tu na yeye kinampiga kwenye kura, bora awaachie wengine akwepe aibu!
Chama chako kipi, CCM? Hiyo ndio nitolee tena, unafikri kwa Chief Kalumuna watafanyaje?Halafu siasa za bk kihistoria ni za tofauti Sana ,huwa hawaangalii chama, ndio maana nahofia chama changu pendwa kisije pigwa chini tena
Ahamie Ccm aachane na watu wa matusi Chadema
Kumbe ndiyo maana Wilfred alikimbia !!!
Ni kule kwa Lwakatale?
Inawezekana ndiye sababu ya Lwakatale kujiondoa?
Probably,ila rwakatale amezeeka alisema hatak kujihusisha na siasa
Yawezekana keani ccm ina tabia kama za klabu ya simba wakihisi mtu kuwa tishio kwao umuonga ela kumchukua na kisha kumpoteza kama madiwan wa chadema wa shinyanga na wa mbeya ambao mpaka sasa hawajielewi
Lakini alikuwa kwetu sema tu kuna mzee mmoja alikuwaga diwani katika kata yake siku za nyuma ndiye aliyemvuruga hadi akakimbilia kwa wazungusha mikonoChama chako kipi, CCM? Hiyo ndio nitolee tena, unafikri kwa Chief Kalumuna watafanyaje?
Kwani umepona corona?
Wewe hii ndio kazi yako sio?Kachape kazi ulijenge Taifa ni asubuhi
Ataija kuba nke kifera Kawe Alummni ekya magamba ya majoka genshongo.Chief abantu bangi mbamwenda muno,,,,na amaendeleo agakozile ngazoka ...kandi taina bijumi ,,lazima chadema bamlabieo.
Hiyo ni danganya toto tu ,yule mzee hana time na siasa tena