LIMBOMAMBOMA
JF-Expert Member
- Oct 3, 2017
- 9,211
- 12,716
Katika uchaguzi huu mvurugaji mkuu ni tume ya uchaguzi na jeshi la polis
Tunawalea sana hawa.Hivi hawa wajinga tutaendelea kuwapet pet had lini ngoja nikanunue dumu la petroli nikae nalo. Nzishe
Tuliza akili Mkuu. Kuwa na UTU na watanzania wenzako basi!!!Endelea kutafuta kiki.
Naku quote na huna cha kufanya wewe mwajuma ndala ndefu.Wewe bi dada usiwe unaniquote hapa jamvini tafadhali
Acha ujinga serikali za mitaa 2014 tulishinda 30%+ ya vijiji na mitaa vilivyopigiwa kura Lowassa alikuwepo?Kumbe hujui hao million 6 walikuwa washabiki wa Lowassa wakiwemo wanaCCM na wengi wao wamesharudi CCM. Tarehe 28/10/2020 utaamini mkuu
You exactly understand the consequence of the peaceful marching that turns violent. Huwa hamna cha wewe ni CCM au CDM ikifikia hatua ya uharibufu. Tumeona USA wakati wa maandamano ya kupinga ukatili wa polisi kwa watu weusi. Maduka ya weusi yaliibiwa na kuchomwa pia. Hata walipowaomba waandamanaji kuwa maduka yale yalikuwa yao lakini Looters glued their ears. Brother usishoboke na VITENDO vitakavyoleta uvunjifu wa amani. Tupinganeni kwa hoja MWISHO baada ya UCHAGUZI tutabaki ndugu na rafiki. Mpaka hapa tulipo binafsi sijaona kasoro Kubwa ktk zoezi hili. So let's be patientUkiona mtu anatetea ualifu jua na yeye mualifu