Chicago Torture Video

Nyani Ngabu

Platinum Member
May 15, 2006
92,001
112,632
Hii video ni ya habari inayobamba kwa sasa Marekani.

Inawaonyesha vijana wanne wa Kinugu wakimtesa kijana wa Kizungu ambaye pia ni mlemavu wa akili.

Kwenye video wanasikika wakimtukana Trump huku wakimtesa huyo kijana kana kwamba huyo kijana anamuunga mkono Trump [kijana mwenyewe huenda hata hakupiga kura kutokana na hiyo hali yake ya mental disability].

Na hata kama angekuwa ni mshabiki wa Trump, bado hiyo haihalalishi hata kidogo alichofanyiwa.

Hivi tuseme ingekuwa ndo vijana wanne wa kizungu ndo walimteka na kumtesa kijana wa Kinugu mwenye mental disability, huko Chicago kungekalika kweli?

Roles zingekuwa reversed sasa hivi huenda kungekuwa na maandamano kwenye karibu miji yote mikubwa ya Marekani pamoja na ghasia.

Wale watu wa black lives matter wako wapi? Unafiki, unafiki, unafiki 2.0.

 
..Nashangaa how blacks wanamange kukaa na whites wakati kuna physical distinction kubwa sana,sisi ni weusi sana etiiii!!
 
Acha upuuzi, black lives matter inaingilianaje na hii scenario, ww hata sio mmarakeni mweusi unaita wenzio wanafiki ilhali you've never lived their lives, kwa ujuaji na unafiki wabongo tuzo yetu walahi, was the white insane guy killed? Foolish snitch house nigas every fvckin where
 
Acha upuuzi, black lives matter inaingilianaje na hii scenario, ww hata sio mmarakeni mweusi unaita wenzio wanafiki ilhali you've never lived their lives, kwa ujuaji na unafiki wabongo tuzo yetu walahi, was the white insane guy killed? Foolish snitch house nigas every fvckin where

You sound like you just got done eating your own poop!

Did you add some ketchup on it also?

Wonder what it tasted like...
 
Japo sijaona video maana zimenigomea kufunguka ila watu weusi wako sensitive sana na suala la rangi yao wanapokua wamechanganyika na ngozi nyeupe
 
Niliwahi kusema siku moja kuwa ngozi nyeusi ni wabaguzi kuliko hata ngozi nyeupe... Niliona kwenye lile sakata la polisi kupiga risasi yule jamaa mweusi huko USA kwamba lilikuwa big deal kuliko hata ishu ya yule sniper John ambaye alikuwa black kuua askari mweupe zaidi mmoja
 
It's sickening. Wamefanya jambo la ajabu sana huku wakirusha in real time on Facebook live.

Japo siungi mkono walichofanya ila kuna utofauti ambao umeonekana dhahiri kwenye hii ishu na ndiyo jambo la msingi ambalo watu wa BLM wanalisimamia- Justice. Hadi sasa wale wanugu wote wanaohusika wameshikwa na soon tutasikia wapo jela kutumikia vifungo, unajua nani hawajashikwa hadi leo!? Wauaji wa weusi: Garner, Rice, Treyvon, Castile etc. Ikumbukwe hawa weusi waliuwawa ila wauaji wao hawajashikwa zaidi ya kuwekwa on administrative leave wakati huyu mzungu wa Chicago kapigwa ila hadi sasa abuser wake wameshikwa na watafungwa.

So haki imetendeka na itaendelea kutendeka tena haraka kama kosa kafanya mweusi ila akifanya mzungu kwa mweusi Hakuna haki ndiyo maana BLM wapo kimya.
 
You should wonder at your pathetic biased self that can't comprehend shit
Eating shit got you so messed up.

So tell me, what does your own poop taste like?

What kinda condiments do you add on it?

Honey mustard? Three mile island? Or teriyaki bbq?
 

Similar Discussions

2 Reactions
Reply
Back
Top Bottom