Chezea wanawake weye eeeh!!!!!

CHAI CHUNGU

JF-Expert Member
Feb 20, 2012
7,113
930
Mke wa mtu alikutwa akisoma ujumbe wa simu aliotumiwa na mpenzi wake wa nje.

Ghafla mwanamke huyo akajikuta akitokwa na machozi baada ya mpenzi wake wa nje kumwambia kuwa mapenzi yao yamefika kikomo.
Baada ya kumuona mkewe analia,mume alishituka kidogo na kutaka kujua kulikoni?
Mumewe akamuuliza nani kakutumia meseji?

MKE:dada.
MUME:inasemaje?
MKE:Ananielekeza jinsi ya kupika pilau.
MUME:sasa mbona unalia?
MKE:si nimefika sehemu ya kukata vitunguu!!

Teh teh teh teh teh!!
 
Mke wa mtu alikutwa akisoma ujumbe wa simu aliotumiwa na mpenzi wake wa nje.

Ghafla mwanamke huyo akajikuta akitokwa na machozi baada ya mpenzi wake wa nje kumwambia kuwa mapenzi yao yamefika kikomo.
Baada ya kumuona mkewe analia,mume alishituka kidogo na kutaka kujua kulikoni?
Mumewe akamuuliza nani kakutumia meseji?

MKE:dada.
MUME:inasemaje?
MKE:Ananielekeza jinsi ya kupika pilau.
MUME:sasa mbona unalia?
MKE:si nimefika sehemu ya kukata vitunguu!!

Teh teh teh teh teh!!

jamani!hlo nalo ni tatizo.uaminfu zero.
 
Mke wa mtu alikutwa akisoma ujumbe wa simu aliotumiwa na mpenzi wake wa nje.

Ghafla mwanamke huyo akajikuta akitokwa na machozi baada ya mpenzi wake wa nje kumwambia kuwa mapenzi yao yamefika kikomo.
Baada ya kumuona mkewe analia,mume alishituka kidogo na kutaka kujua kulikoni?
Mumewe akamuuliza nani kakutumia meseji?

MKE:dada.
MUME:inasemaje?
MKE:Ananielekeza jinsi ya kupika pilau.
MUME:sasa mbona unalia?
MKE:si nimefika sehemu ya kukata vitunguu!!

Teh teh teh teh teh!!
jamaa angemwambia amsaidie kukata ivo vitunguu sasa
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom