wickerman
JF-Expert Member
- Dec 12, 2011
- 408
- 248
Mmasai alipewa kipaza sauti kwenye msiba aseme japo machache, akasimama akasema.. "Musiba Oyee!!" Jenesa safiii! Amependesa hajapendesa!!? Basi mwenye wifu ajinyonge kwansa kabisa napenda sukuru marehemu sababu yeye nakufa nafanya sisi nakutana na tunakula wali muzuri leo tumekunywa bia na maji ile nauswaga dukani naomba keso ife ingine tuendelee kubaki hapa paka siku ya munada ifike. Musiba oyee!! itikia basi. Mbona nanyamasaa!!