don-oba
JF-Expert Member
- Dec 8, 2011
- 1,387
- 677
Mie sioni chochote hapa! Anafanya kazi ili APIGWE PICHA! Kama ni kufanya kazi kweli hawa watu waliomzunguka wa nini?
kusimama jukwaani tu anaanguka, kweli hapo atafanya kazi?, kwanza sina imani na afya yake. ****** wapi na wapi na kazi ngumu?.