Cheza na Kikwete, yuko kotekote, Kijijini Msoga hapa

Jk bana,eti mafunzo.zamani tukiwa shule ya msingi walimu walituagiza kamba za ng'ombe na mwiko kama sanaa,eti unawekewa max kumbe baadae inapelekwa sokoni.

Kwahiyo hapo unamaanisha hizo tofali zitakuwa sokoni soon?
 
Rais JK Nyerere alifanya haya pia Rais Kagame naye hufanya haya kila Alhamisi (nadhani) JK si wa kwanza kama ameanza nampa big up

Tuwe wakweli

Akumbuka kushusha neti za msaada wa kimarekani hukiwa kumeshakucha wakati mbu wanaoeneza malaria washamchezea usiku wa manane
 
Picha ya pili mbona jamaa 1 kachoka sn umeona hyo yeboyebo au ndo vazi la kipwani
 
Rais JK Nyerere alifanya haya pia Rais Kagame naye hufanya haya kila Alhamisi (nadhani) JK si wa kwanza kama ameanza nampa big up

Tuwe wakweli

Akumbuka kushusha neti za msaada wa kimarekani hukiwa kumeshakucha wakati mbu wanaoeneza malaria washamchezea watakavyo usiku wa manane
 
Mimi binafsi si pro Kikwete hata kidogo ila tatizo ni letu tupunguze au tuaache kulalamika then tu senstize umma kila mmoja ajue umuhimu wa kupiga kura ili uchaguzi ujao tuwa ondowe hawo mafisadi. Kuna simple research nilifanya nikagundua kwamba watu wengi especially mijini hawakupiga kura ukiwawuliza wanasema upige usipige watapita tu lakin wewe kama wewe timiza wajibu wako be the agent of change kwasababu hata wataalamu wanasema ili watu waweze kuiba kura sharti watu wengi wasijitokeze kupiga kura ili waingize zakwao. lakin watu wakipiga kura wote inakua vigumu kuiba kama ilvyo tokea kenya kina kibaki waliiba hadi ikashindikana coz watu walijitokeza kupiga kura na dunia ilijua aliyeshinda ni nani. nafkir na sisi tufike huko. kwahio rai yangu ni kwamba badala ya kulalamika tu lets play our part kama Mwalimu alivyo wahi kusema "play your part it can be done" especially kuelimisha watu umuhimu wa kupiga kura. ukweli usiofichika ni kwamba ccm imechokwa kila unapopita watu wanawasema vibaya kwasababu ya live examples nani hajui kwamba mfumuko wa bei unatisha? nani hajui kwamba garama za maisha zimepanda in all dimensions of life? kwahio wote tupige kura waibe hadi ishindikane. Tuanze hiyo kampeini kuanzia sasa cha kusikitisha zaidi nikwamba vijijini wamekua na mwamko wa kupiga kura kuliko mijin sisi mijin ni kupiga kelele tu ikija kwenye implimentation zero. naomba kuwaslisha
 
Nashindwa tu kumwelewa mtu anayemshauri Rais wetu kuhusu kuvaa mavazi yanayoligana na shughuli husika. Nimeshaona kwenye picha kadhaa sehemu anatakiwa kuwa na buti za kazi yeye amevaa viatu ambavyo haviendani na shughuli yenyewe. Unayeaandaa mavazi ya kiongozi wetu unatuaibisha.
 
Mie sioni chochote hapa! Anafanya kazi ili APIGWE PICHA! Kama ni kufanya kazi kweli hawa watu waliomzunguka wa nini?
 
Kambi kazi (work camp )....zinafanywa sana na wenzetu...na hata hapa bongo zinafanyika ni nzuri sana...niliwahi kumsikia mwantumu mahiza akiongelea hili siku za nyuma..nzuri inawajenga vijana...ila kwanini pwani tu tena msoga?
 
Mkuu sio mshauri tu,hata yeye anapaswa kutumia za kwake,jana alilalamika project imefanyika sehemu ambayo hawakukubaliana akaishia hapo,kwa mtendaji mzuri alipaswa kuwajibisha wahusika na sio kuwapa pole vijana kwa kupewa eneo ngumu la kufanyia kazi.Kama Rais alikuwepo mchoro wa awali,na hakikufanyika walichokubaliana,si watu wanasubiri semina elekezi wapate posho?
 
Kambi kazi (work camp )....zinafanywa sana na wenzetu...na hata hapa bongo zinafanyika ni nzuri sana...niliwahi kumsikia mwantumu mahiza akiongelea hili siku za nyuma..nzuri inawajenga vijana...ila kwanini pwani tu tena msoga?

Mnashindwa kugundua kuwa mantumu Mahiza ni mkuu wa mkoa wa Pwani na yeye ndio katoa wazo jk kaalikwa tu...acheni hizo halafu someni thread vizuri muache kukurupuka.
 
Rais JK Nyerere alifanya haya pia Rais Kagame naye hufanya haya kila Alhamisi (nadhani) JK si wa kwanza kama ameanza nampa big up

Tuwe wakweli

Ameanza kufanya akiwa amebakiza miaka mitatatu kustaafu!!?
Wenzie walianza nayao na ndiyi ilikuwa hulka yao...sio kutafuta ujiko na walifanyia sehemu yoyote ile siyo kwao tu Msoga!

Kumshangilia ni sawasa na kumsifia mtu mzima wa miaka arobaini anapofanikiwa kufanya mambo yaliyo mshinda akiwa na miaka kumi! na kumwita ana akili sana!
 
Hivi Nguvu ningefurahi Kama zingepelekwa pia Kwenye Shida za wananchi

Kwani hapo anafanya nini kama si kutatua tatizo la shida za wananchi? anawapa nyavu wakavue badala ya kuwapa samaki. Na hiyo ndio sahihi. Mlitaka afanye nini?

Na nyie mmeambiwa igeni mje na ubunifu sio kukaa kulalama kila wakati.
 
Nashindwa tu kumwelewa mtu anayemshauri Rais wetu kuhusu kuvaa mavazi yanayoligana na shughuli husika. Nimeshaona kwenye picha kadhaa sehemu anatakiwa kuwa na buti za kazi yeye amevaa viatu ambavyo haviendani na shughuli yenyewe. Unayeaandaa mavazi ya kiongozi wetu unatuaibisha.

Hilo litakuwa limewafikia wahusika!
 
Mie sioni chochote hapa! Anafanya kazi ili APIGWE PICHA! Kama ni kufanya kazi kweli hawa watu waliomzunguka wa nini?

Amenikumbusha mbaili kweli! Enzi zile unapiga picha huku ukiwa umepanda pikipiki ya mpiga picha then ukiletewa picha yako unapeleka bush nyuma ya picha umeandaki...'Pikipiki ya kwanza kununua''!............... Au unapanda sanamu ya farasi kisha unapiga picha nyuma ya picha unaandika wakati nilipokuwa nafanya mazoezi ya kuendesha farasi mwaka..............'
 
Back
Top Bottom