Ringo Edmund
JF-Expert Member
- May 10, 2010
- 4,879
- 1,125
hayo ni maneno ya john momose cheyo,na wabunge wa ccm walivyowatupu vichwani wanashangilia tu
hayo ni maneno ya john momose cheyo,na wabunge wa ccm walivyowatupu vichwani wanashangilia tu
hata mimi nimemsikiliza nikashangaa huu mfano aliotoa,nilidhani amekuwa mzee amesahau mifano yenye utukutu!
Ndo zake,mzee mhuni sana huyu,
kama mnabisha njoeni 84 Club mumuone anavyobambia totozz huwezi amini
aaah we mpwa kumbe unamjua!, huyu mzee MCHAFU hafai mi nilipomuona 84 Club asee sikuamini kama ndio mzee wa kuwajaza watu mapesa!, nahisi aliruka steji hii akiwa kijana. matokeo yake anapenda sana chini na uzee wakehuyu mzee alitukuta tukipata kinywaji pale area c kwa merei akatuambia leo hamuingizi timu 84?tukamjibu tumefulia akatuambia hatupi usafiri ila kila atakayeenda bili juu yake.ebanaee huyu mzee hafai.