Cheti cha Kuzaliwa kiwe na option ya 'single parent'

Habari zenu wakuu,

Kwenye suala la cheti cha kuzaliwa hapa Tanzania ni lazima sehemu ya wazazi wa mtoto Baba na Mama majina yao yawekwe. Hili linaleta ugumu kwa single parent ambapo unalazimishwa kumuweka mtu ambaye hana msaada na wewe tangu ujauzito na wala hakusaidii chochote na ukute hajawahi kumuona huyo mtoto tangu azaliwe.
Tumia zako mwenyewe. Kwenye jina la baba na mama weka jina lilelile
 
Habari zenu wakuu,

Kwenye suala la cheti cha kuzaliwa hapa Tanzania ni lazima sehemu ya wazazi wa mtoto Baba na Mama majina yao yawekwe. Hili linaleta ugumu kwa single parent ambapo unalazimishwa kumuweka mtu ambaye hana msaada na wewe tangu ujauzito na wala hakusaidii chochote na ukute hajawahi kumuona huyo mtoto tangu azaliwe.

Rita inabidi mliangalie hili, isiwe ni lazima majina ya wazazi wote wawili wawepo kwenye cheti cha kuzaliwa. Kuwe na option ya mzazi mmoja Kama single parent, sio kulazimisha majina ya baba eti kama humuweki baba wa mtoto weka baba yako au kaka ilimradi ile nafasi ya baba mtoto isiwe wazi.

Nchi za wenzetu hata hapo Kenya tu wanafanya hili, baadae kama baba atarudi na mama ataridhia mtoto atumie jina la baba, wanarudisha cheti na kuongeza jina la baba.

Na hii pia inaleta matatizo in future utakuta documents za baba zinahitajika just because jina lake liko kwenye cheti cha kuzaliwa na hapo utakuta hamna mawasiliano. Lakini ukiwa single parent wanajua baba hayuko kwenye maisha ya mtoto. Eg uende kuapply passport au visa uhamiaji na ubalozi kote watataka consent letter kutoka kwa baba kuthibitisha anakubaliana mtoto asafiri.

Kuwa mzazi ni kuwa responsible for your kids haijalishi mko pamoja au mmeachana na mzazi mwenzako Watoto lazima uwape kipaumbele. sio unazalisha huko halafu unatekeleza Watoto then unajiita Baba. Hapo ni sperm donor tu

Rita msilazimishe watu kuwa mababa kwa kuweka majina yao kwenye cheti Cha kuzaliwa wakati hata hajui sura ya mtoto. Sheria ibadilishwe, Option ya single parent inahitajika.
Word
 
Siyo Ria, kwani wao ndio wanakujazia form?
Mkuu hatuelewani. Kwani hata kama unajijazia form lazima uwape Rita wakishaipisha ndio upewe cheti. Na Kama wao hawana hiyo option umejijazia tu, utarudishiwa form ujaze upya.

My question is RITA wanahiyo option ya kujaza majina ya Mama sehemu zote mbili ama wewe unaassume tu???
 
Mkuu wazo lako ni zuri ila liangalie pia kwa upande mwingine ambapo kuna wanawake wanaowanyima wanaume watoto wao kwasababu mbalimbali. Lakini kwa kuwa mimba haitungiki bila ya X na Y, then cheti lazima kiwe na majina yote mawili
 
Habari zenu wakuu,

Kwenye suala la cheti cha kuzaliwa hapa Tanzania ni lazima sehemu ya wazazi wa mtoto Baba na Mama majina yao yawekwe. Hili linaleta ugumu kwa single parent ambapo unalazimishwa kumuweka mtu ambaye hana msaada na wewe tangu ujauzito na wala hakusaidii chochote na ukute hajawahi kumuona huyo mtoto tangu azaliwe.

Rita inabidi mliangalie hili, isiwe ni lazima majina ya wazazi wote wawili wawepo kwenye cheti cha kuzaliwa. Kuwe na option ya mzazi mmoja Kama single parent, sio kulazimisha majina ya baba eti kama humuweki baba wa mtoto weka baba yako au kaka ilimradi ile nafasi ya baba mtoto isiwe wazi.

Nchi za wenzetu hata hapo Kenya tu wanafanya hili, baadae kama baba atarudi na mama ataridhia mtoto atumie jina la baba, wanarudisha cheti na kuongeza jina la baba.

Na hii pia inaleta matatizo in future utakuta documents za baba zinahitajika just because jina lake liko kwenye cheti cha kuzaliwa na hapo utakuta hamna mawasiliano. Lakini ukiwa single parent wanajua baba hayuko kwenye maisha ya mtoto. Eg uende kuapply passport au visa uhamiaji na ubalozi kote watataka consent letter kutoka kwa baba kuthibitisha anakubaliana mtoto asafiri.

Kuwa mzazi ni kuwa responsible for your kids haijalishi mko pamoja au mmeachana na mzazi mwenzako Watoto lazima uwape kipaumbele. sio unazalisha huko halafu unatekeleza Watoto then unajiita Baba. Hapo ni sperm donor tu

Rita msilazimishe watu kuwa mababa kwa kuweka majina yao kwenye cheti Cha kuzaliwa wakati hata hajui sura ya mtoto. Sheria ibadilishwe, Option ya single parent inahitajika.
Kwanza hakunagamtoto wa mzazi mmoja, pili for every action there is an equal and opposite reaction, wengi huwa mnatangulia kutukana unapoangua badala ya kukemea tabia mbovu ilokufanya uanguke,
Kukataa jina la mzazi mwenzio lisiwepo katika cheti cha mtoto unayehisi umewajibika peke ako, ni kukataa uhalisia kuwa wewe pia ulikosea katika harakati za kupatikana huyo mtoto, lakini pia unaminya haki ya mtoto kumjua na hata kuwa na hisia na mzazi wake wa kiume hapo baadae uelewa wake utakapokomaa.. lakini zaidi itazidi kuongeza kasi ya kutowajibika kwa wazazi wa kiume hovyo, hata maadili yatazidi kumong'onyoka
 
I am as serious as a heart attack
Lakini Am failing to see how doing this will automatically help a mother in providing for the child or at least make it easy somehow!

Sounds more personal and not to the best interest of the kid...by definitely quenching the egoistic thirsty in question.
 
I second this.
Hata masingo faza pia waruhusiwe kuacha nafasi wazi vilevile
 
Back
Top Bottom