Red Giant
JF-Expert Member
- Mar 9, 2012
- 15,658
- 20,889
Habari wandugu. Ukifuatilia nchi nyingi utaona kuwa zina mmoja, Waziri Mkuu au Makamu wa Rais na si wote.
Na nchi nyingi zenye mawaziri wakuu ni zile za kifalme, wakati Jamhuri nyingi zina Makamu wa Rais. Na zingine zikiongozwa na waziri mkuu pekee, Rais akiwa ni ceremonial tu.
Na hata ukiangalia kiutendaji utaona kuwa makamu wa Rais huwa yupoyupo tu, haeleweki anafanya nini.
Ni wakati sasa tufute cheo kimoja, cha wazicha Waziri Mkuu au Makamu wa Rais.
Na nchi nyingi zenye mawaziri wakuu ni zile za kifalme, wakati Jamhuri nyingi zina Makamu wa Rais. Na zingine zikiongozwa na waziri mkuu pekee, Rais akiwa ni ceremonial tu.
Na hata ukiangalia kiutendaji utaona kuwa makamu wa Rais huwa yupoyupo tu, haeleweki anafanya nini.
Ni wakati sasa tufute cheo kimoja, cha wazicha Waziri Mkuu au Makamu wa Rais.