Mabobish
JF-Expert Member
- Jul 25, 2018
- 366
- 280
Wadau naombeni mwenye kufahamu ufafanuzi juu ya cheo alichotunukiwa Dr.Bashiru Ally sambamba na uteuzi wa Katibu Mkuu Kiongozi. Binafsi sijaelewa kwamba huenda ni sharti ili uwe Katibu mkuu Kiongozi ni lazima uwe Balozi??
Nawasilisha kwa hoja si mapovu
Nawasilisha kwa hoja si mapovu