Chenji zinasumbua,utanidai mia moja!

Swat

JF-Expert Member
Oct 13, 2012
4,199
1,975
Wakuu tunaelekea kwenye sikukuu za kufunga mwaka. Wengi tumekua na tutakua tukijivinjari kwenye bars na restaurants mbalimbali kwa vyakula na viburudisho. Kumekua na tabia ya wahudumu wa maeneo hayo,ukishalipa pesa itakayohitaji urudishiwe chenji,mhudumu atakuambia chenji inasumbua utamdai mia moja. Ki ukweli wengi huwa wanaamua kuziacha kwa kuwa huwa wana haraka zao. Najua wengi tumekumbwa na hili,tabia hii,kwenye siku kuu hizi,ife!
 
Wengine huwa wanaziacha mkuu Kapuyanga mkware,lakini mimi huwa nakomaa. Ukiwakomalia huwa wanakuletea muda huohuo. Sasa huu si wizi wa style yake jamani!
 
Wakuu tunaelekea kwenye sikukuu za kufunga mwaka. Wengi tumekua na tutakua tukijivinjari kwenye bars na restaurants mbalimbali kwa vyakula na viburudisho. Kumekua na tabia ya wahudumu wa maeneo hayo,ukishalipa pesa itakayohitaji urudishiwe chenji,mhudumu atakuambia chenji inasumbua utamdai mia moja. Ki ukweli wengi huwa wanaamua kuziacha kwa kuwa huwa wana haraka zao. Najua wengi tumekumbwa na hili,tabia hii,kwenye siku kuu hizi,ife!

Hii sasa imekuwa ni mtindo nchi nzima ,yaani upo stand au mmeshuka kunako busi kwa ajiri ya msosi ili muendelee na safari unanua bidhaa halafu unaambiwa utanidai mia ebo.Yaani nitakudai mia lini? Na unaona nipo kwenye gari.Huku uswahilini unaenda dukani unaambiwa utanidai mia ,ukirudi tena kununua bidhaa nyingine unaambiwa tena utanidai mia ,anajifanya ile mia ya kwanza haikumbuki

Sent from my BlackBerry 9700 using Jamii Forums
 
Mkuu Cha ukucha mia inatosha kumpa dogo wa shule asubuhi akanunua Ubuyu,tena atakushukuru sana usawa huu.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom