SINA JINA1
JF-Expert Member
- Feb 24, 2012
- 391
- 151
Kwa hali ya kushangaza na kushtua ni kwamba wale wananchi wa Mtwara vijijini waliokuwa wameshalipwa fidia ya bomba kupita kwenye makazi/mashamba yao, acc zao walizowekewa fedha zimefungwa. Wale ambao walishazichoto imekuwa ni kama neema kwao.
maswali ya kujiuliza ; Serikali inapofanya michozo kama hii inajua madhara yake? Je ndio kusema kuwa serikali imefyata mkia sasa bwana mkubwa anakusanya chenji arudishe fedha za wachina anazodaiwa kuzipiga?
my take:
Sererikali imekuwa ikidharau wananchi kwa muda mrefu sana. Haya yaliuotokea kule Mtwara na yanayoendelea bungeni ni taa nyekundu kwamba nchi nzima sasa moto utawaka kwani hizi ndizo ishara za mabadiliko kwa jamii yoyote kuelekea kwenye maendeleo .
Pia zipo tetesi kuwa Mh. Jk amesalimu amri kwa suala la Gas kutokana na biti zito kutoka kwa Mbabe wa Western Mtoto wa kiluo aka Obama .
maswali ya kujiuliza ; Serikali inapofanya michozo kama hii inajua madhara yake? Je ndio kusema kuwa serikali imefyata mkia sasa bwana mkubwa anakusanya chenji arudishe fedha za wachina anazodaiwa kuzipiga?
my take:
Sererikali imekuwa ikidharau wananchi kwa muda mrefu sana. Haya yaliuotokea kule Mtwara na yanayoendelea bungeni ni taa nyekundu kwamba nchi nzima sasa moto utawaka kwani hizi ndizo ishara za mabadiliko kwa jamii yoyote kuelekea kwenye maendeleo .
Pia zipo tetesi kuwa Mh. Jk amesalimu amri kwa suala la Gas kutokana na biti zito kutoka kwa Mbabe wa Western Mtoto wa kiluo aka Obama .