johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,913
- 141,862
Sijajua ni kwanini mbunge wa Bariadi alitamka maneno haya lakini kwa yanayoendelea bungeni naunga mkono hii kauli.
Bunge hili la bajeti limekuwa ni bunge la kuijadili Chadema badala ya kujadili mustakabali wa uchumi wetu.
Jana inapitishwa bajeti ya wizara ya viwanda na biashara huku Biashara zinasusua na mtaani sukari hakuna lakini waziri haonyeshi kuguswa kabisa.
Kiukweli hili bunge lingevunjwa tu ili mwezi October panapo majaliwa tuanze upya na December ifanyike min budget.
Maendeleo hayana vyama!
Bunge hili la bajeti limekuwa ni bunge la kuijadili Chadema badala ya kujadili mustakabali wa uchumi wetu.
Jana inapitishwa bajeti ya wizara ya viwanda na biashara huku Biashara zinasusua na mtaani sukari hakuna lakini waziri haonyeshi kuguswa kabisa.
Kiukweli hili bunge lingevunjwa tu ili mwezi October panapo majaliwa tuanze upya na December ifanyike min budget.
Maendeleo hayana vyama!