Chenge ashikiliwa polisi kwa ajali ya gari iliyosababisha vifo

Ili kuepuka INSTANT MOB JUSTICE angeenda moja kwa moja Kituo Cha Polisi kujisalimisha badala ya kwenda kwanza nyumbani kwake. Kwa hiyo kosa la kukimbia bado liko pale pale, na kukwepa mob justice haiwezi kuwa kisingizio.


JF is the MOB! hii ni ajali tuu. Every1 who has ever been on a Bajaj knows that its not a very good means of transport in so far as safety is concerned. Ukigonwa na VX ana Range Rover ama ile Pick Up ya Chenge atakuua tuu na jinsi zinavyokimbia.. (bajaj) na huwa hazifuati sheria. Its not likely that someone like Chenge was driving like a maniac (mshua yule and I've seen him drive) hana mambo ya utoto katika hilo.. SO unless he was intoxicated I find it difficult to lay blame.. Hatuna facts so acheni tabia yaku hukumu watu bila ata ushahidi...

Kajisalimisha polisi mnasema amekimbia..that is Bull-S.. Ingekuwa tabu kama JF ingepewa serikali leo... Draconian state..
 
Kifupi, inasemekana Chenge alikuwa anaendesha gari ambalo Insurance (bima) yake ime-expire (imeisha muda wake) tangu 2007

Of all the people in this country, the former "Mkuu wa Sheria wa Nchi", how is it possible can drive un-insured vehicle?

That is too much!
 
1.
Kuhani;408359] Yani unatuambia akitokea drunk driver akapitiliza kwenye red au mwehu mlevi or a mwehu?

- Kuhani sometimes unazidisha haya mambo mkuu, jamaa amekuambia dereva mwingine sio mwehu, wala mlevi, dereva mlevi na drunk sio sawa na dereva mwingine mkuu, with all due respect jaribu kuelewa maana ya maneno kabla ya kukurupuka mkuu.

Wazee wa sauti ya umeme FMEs!
 
Jamani...I love to be a Tanzanian! Kuna taarifa nimezipata sasa hivi ati kuna tume imeundwa yenye wajumbe toka Polisi, NIT na TISS kuchunguza ajali hii!

Kuna Dada ama Mama aligongwa akiwa katika Bajaji akafa na mwanae si muda mrefu sana uliopita. Hivi iliundwa tume?. Hii ni mbinu, jibu wanalo kuwa viongozi huwa hawawekwi ndani wanapofanya makosa (sisemi Chenge tayari ana makosa). Ingekuwa ni Mfumwa saa hizi niko Polisi kwa kosa la kusababisha vifo. Hii kuunda tume toka sehemu tofauti ni kulizima hili suala kiujanja, ionekane vyombo mbali mbali vililishughulikia. Pia ni upotevu wa fedha, Askari wa Usalama barabarani wapo kwa ajili gani?. Tusubiri lakini kama kweli wameunda tume, muda utatupa majibu.
 
The Professional Drivers Association
10 East Cambridge Road,
Porchester, New York 10650

Welcome...

We would like to welcome you to the PDA. We are a non profit making organisation, registered at Companies House and run entirely by volunteer Trustees, with a lot of help from our Members, and we all work full time as lorry drivers.

• We try very hard to raise the standards of new and existing drivers in the
Road Haulage Industry.
• We lobby for better facilities, treatment by delivery points and respect from
the public in general.
• We are a catalyst between the authorities and the working lorry driver, and
strive to bridge that gap.
• We provide up to date legislation and information which is available to
anyone who wishes to read it.
• We provide PDA Training Leaflets in a wide Range of subjects for our
members and give help via the PDA Buddy Scheme to new Drivers
• We keep you informed of PDA Drivers Health Matters in a new section of
the website.



The Professional Drivers Association of NYC.
10 East Cambridge Road.
NYC.



Quote: Kuhani

Na hakuna mtu anaeitwa "Professional Driver"!
§ 509, Title 5, Article 19-B VEHICLE AND TRAFFIC, NEW YORK
"Commercial driver" shall mean every person who is self-employed or employed by a commercial motor carrier and who drives a commercial motor vehicle for hire or profit.
Nadhani it's too early in the morning saa hizi huko NYC kuanza kupeana.... well... speculations, let's stick with Bongo, na Kevo na Chenge, it would be a better thing to do bwana W.J. Malecela.
 
Of all the people in this country, the former "Mkuu wa Sheria wa Nchi", how is it possible can drive un-insured vehicle?

That is too much!

Kuna wimbo uliwahi imbwa na Prof. J ukiitwa "Chemsha Bongo", ndani ya huo wimbo kuna mistari "...Nilivunja sheria za barabara na trafiki akanichekea, fedha iliongea...". Ina maana hawa wakuu huwa hawasimamishwi kukaguliwa, na hata akisimamishwa akionekana ni Mheshimiwa Chenge, huambiwa "Mzee kumbe ni wewe, haujambo lakini, haya safari njema".
 
Mh Chenge anakabiliwa na mashataka ambayo yanaweza kumsumbua kwasababu hakuna kesi ndogo unless wamalize kama ilivyokuwa kwa Ditto.

Kwanza kagonga na kusababisha vifo, pili alikimbia kutoka kwenye eneo la ajali na hivyo kupoteza uwezekano wa kupata ushahidi utakaotumika kama vile alcoholic level na ushahidi wa kimazingira base on his vehicle location after the accident, pia kama angesimama na kujaribu kuwasaidia marehemu na kuwakimbiza hospital labda wangepona, you never know...Na kama tatizo ni mob justice kama wengine wanavyosema basi angekimbilia polisi na si nyumbani,ama angepiga simu polisi(hatujui kama alifanya hivyo)

Hata hivyo tatizo ambalo linaifanya kesi yake kuwa mbaya zaidi ni hilo la kukosa insurance,hapo tayari kesi inabadilika, halafu tatizo ni kwamba amekuwa akiendesha kwa miaka miwili bila kuwa na insurance mtu ambaye alishawahi kuwa mwanasheria mkuu na kiongozi mwandamizi wa serikali...Makosa yote aliyoyafanya yanakuwa mabaya zaidi kwasababu ya kukosa insurance,unless sheria zetu ni tofauti.

Inasikitisha,pole kwa waliofiwa na Mungua awalaze marehemu mahali pema peponi Amin.
 
Jamani...I love to be a Tanzanian! Kuna taarifa nimezipata sasa hivi ati kuna tume imeundwa yenye wajumbe toka Polisi, NIT na TISS kuchunguza ajali hii!

Tafsiri yake ni nini? watu wanaogopa kuwajibika kwani Chenge nikaa la moto, au ndio mizengwe yakupoteza issue hii?

Kwanini isichukuliwe kama ajali ya kawaida na hatua za kawaida za sheria zikafuatwa? nani anailipia tume hii?

Waliokaribu na issue hii tunaomba watuhabarishe zaidi!

Inasikitisha sana. Haiwezekani maana ni jana tu nilikuwa mahakamani ambako kijana ninayemfahamu alikaa segerea kwa wiki mbili baada ya gari yake kugongana na gari ya mtu mmoja ambaye anatajwa kuwa na fedha. Huna mtu aliyemumia hata kidole na magari yote hayajaharibika kabisa. Baada ya wiki mbili kijana huyo jana ndo amepata dhamana mahakamani. Kabla ya hapo kulikua na kijana mwingine ambaye alimgonga kwa bahati mbaya msaidizi wake aliyekuwa akiongoza lori likirudi nyuma. Alikaa Segerea kwa siku tano na baadaye kupata dhamana mahakamani. Kwa kawaida kesi ya ajali ya barabarani si kubwa sana kama una fedha, lakini huwa ngumu inaposababisha kifo. Wanasheria wanajua kwa hiyo kwa kuwa leo ni Ijumaa, kwa mtu wa kawaida ambaye hana fedha, ingebidi hadi Jumatatu apate dhamana mahakamani. Hatujui ya Chenge, maana anaweza kutoka kwa kuwa sasa eti inaundwa tume wakati mzee alikuwa ametokea kujirusha na warembo nao walitokea Maisha Club kujirusha, masikini Mungu akawa amepanga ajali yake. Hatumuombei mtu mabaya, lakini Chenge huwa anajirusha sana hadi usiku mwingi na kwa kweli si vyema akawa anaendesha mwenyewe. Hili ni fundisho kwa wenzake kina Masha ambao wanakunywa na kuendesha magari usiku
 
Field Marshall ES

Umeamua kukomaa na mzee mzima eeeehh haya bana...msisahau muafaka wa amani....c u in London
 
JF is the MOB! hii ni ajali tuu. Every1 who has ever been on a Bajaj knows that its not a very good means of transport in so far as safety is concerned. Ukigonwa na VX ana Range Rover ama ile Pick Up ya Chenge atakuua tuu na jinsi zinavyokimbia.. (bajaj) na huwa hazifuati sheria. Its not likely that someone like Chenge was driving like a maniac (mshua yule and I've seen him drive) hana mambo ya utoto katika hilo.. SO unless he was intoxicated I find it difficult to lay blame.. Hatuna facts so acheni tabia yaku hukumu watu bila ata ushahidi...

Kajisalimisha polisi mnasema amekimbia..that is Bull-S.. Ingekuwa tabu kama JF ingepewa serikali leo... Draconian state..

Wanaopata ajali siyo lazima wawe na mambo ya kitoto, wakati mwingine dereva anaweza kuwa makini sana na bado akagonga/akapata ajali.

Ajali ni ajali na wasiofuata sheria za barabarani siyo waendesha bajaj tu, madereva wengi wa daladala na taxi huwa hawafuati sheria, na madereva wengine wenye magari ya binafsi wameambukizwa tabia hiyo ya kutofuata sheria.

Ajali imetokea saa 9 alfajiri, ameenda kujisalimisha asubuhi ni ushahidi gani ambao utapatikana kwenye eneo la tukio? Maana hata hiyo bajaj si ajabu ilishaondolewa na miili ya marehemu ilishapelekwa hospitali. Time interval ikiwa kubwa ushahidi waweza kupotea na hivyo kushindwa kujua chanzo cha ajali. Suppose kama Mh alikuwa amelewa na akaenda nyumbani kwake akalala then saa 3 asubuhi akaenda kujisalimisha polisi, je wataweza kugundua kwamba wakati ajali inatokea alikuwa kalewa? Hata wakimkuta na harufu ya pombe anaweza kusema amepata ka-bia kamoja asubuhi ili apate stimu kidogo, utamfunga?

Mob justice ya JF ni kuhukumu mtu bila kuwa na facts za kutosha, na mimi nilichokuwa ninaongelea ni swala la Chenge kukwepa mob justice ya kushambuliwa na "raia wenye hasira kali".
 
saa tisa usiku alikua anatoka wapi huyu nae, hana dereva kwani, au alikua amelewa?.
atalijua jiji

...dereva awe wa serikali/binafsi, saa tisa ya usiku basi? mnh...ingekuwa overtime hiyo au? Bora hivyo hivyo ajali ilivyomkuta mwenyewe.

Ohooo!

Habari ninazozipata sasa zinadai wameenda na mkuu Andrea Chenge kwenye eneo la tukio, ndo wamerudi kituo cha polisi O'bay sasa hivi.

Kifupi, inasemekana Chenge alikuwa anaendesha gari ambalo Insurance (bima) yake ime-expire (imeisha muda wake) tangu 2007

...dah, wale askari wa usalama barabarani wanaotusumbua kutusimamisha kila kilometa moja kudai; 'kadi ya gari, washa indiketa, piga honi,...' hawakuliona hili, au kwakuwa gari la mheshimiwa? si ajabu mheshimiwa nae akadai kosa la insurance ni dereva wake, hakuangalia/hakumwambia!

Of all the people in this country, the former "Mkuu wa Sheria wa Nchi", how is it possible can drive un-insured vehicle?

That is too much!

...inanikumbusha ile kesi ya yule mheshimiwa mwingine wa Twin Tower, ambaye aliwasilisha kesi yake ya kusafiria iliyo expire 2007 na kupewa dhaman vile vile. Wenzetu bado wapo miaka miwili nyuma!

All in all, kuundiwa kamati, TISS kuhusishwa nk yote ni katika 'funika kombe mwanaharamu apite'... ndio hapo yatapoibuliwa madai mmiliki wa mwenye Bajaj 'alikwepa ushuru', dereva wa bajaj 'mwanafunzi', abiria walikuwa 'machangudoa'...then, case dismissed!

Mw'Mungu awarehemu.
 
Haya mabaraa yanawapata kwa kuwa UFISADI umewazidi. Mungu anawapiga kofi kwa kutuonea waTZ ambao hatujui haki yetu. Kama walivyosema huko nyuma inawezekana alikuwa anatoka makaburini kuwanga.

Pole kwa wafiwa.
 
Field Marshall ES

Umeamua kukomaa na mzee mzima eeeehh haya bana...msisahau muafaka wa amani....c u in London

- Hapana ni kuelmishana tu mkuu haina noma, Capo Kuhani ni mtu wangu lakini jamaa wa FM walinyimwa viza, sasa hivi nimeongea na owner wao, anasema watapata viza next week kwa hiyo tarehe zimebadilika za kuja.

- Tabia ya kuendesha na kunywa ni mbaya sana, infact kule DC kuna Diplomat mmoja wa Ukraine, alilewa na kunywa akakgonga mtu na kumuuua, alipokamatwa akiwa chakari akadai yeye ana immunity,

- Serikali ya US ikaailazimisha nchi yake kumfutia ile immunity mara moja, wakafuta jamaa akala mvua 25(years), siku hizi ukishikwa na DWI lazima ule kifungo hata kama hujagonga mtu, majuzi Mkulu Charles B. former NBA star alikuwa siku 10 jela kwa sababu hii sasa ni wakati muafka bongo wakaweka hii sheria.

FMES!
 
- Hapana ni kuelmishana tu mkuu haina noma, Capo Kuhani ni mtu wangu lakini jamaa wa FM walinyimwa viza, sasa hivi nimeongea na owner wao, anasema watapata viza next week kwa hiyo tarehe zimebadilika za kuja.

- Tabia ya kuendesha na kunywa ni mbaya sana, infact kule DC kuna Diplomat mmoja wa Ukraine, alilewa na kunywa akakgonga mtu na kumuuua, alipokamatwa akiwa chakari akadai yeye ana immunity,

- Serikali ya US ikaailazimisha nchi yake kumfutia ile immunity mara moja, wakafuta jamaa akala mvua 25(years), siku hizi ukishikwa na DWI lazima ule kifungo hata kama hujagonga mtu, majuzi Mkulu Charles B. former NBA star alikuwa siku 10 jela kwa sababu hii sasa ni wakati muafka bongo wakaweka hii sheria.

FMES!

Sheria ipi hiyo ikawekwa bongo? Maana sioni umuhimu wa sheria yoyote mpya ili kuweza kumhukumu Chenge kwa makosa aliyoyafanya,yanatosha kabisa,hayo ya sheria nyingine labda ndio watumie hiyo tume kuangalia loopholes lakini Chenge ana mshtaka serious ya kujibu.
 
Hivi Tanganyika Law Society of ina vigezo vya kum disbar mwanachama wake? Kama vipo ni vigezo gani?

Nakumbuka Masumbuko Lamwai aliwahi kusimamishwa uwakili kwa mwaka mmoja kwa kosa la maadili.
 
Hivi, hizi Bajaj zina safety features gani? Seatbelts? Airbags? Side impact bars?

Unaweza kuta this particular one kilikuwa hakina hata reflecters. Hata mtu ukiwa sober, usiku unaweza usikione hiki.

Kwanini zinasajiliwa na kuruhusiwa kubeba abiria?

Mabalaa mengine waTZ TUNAJITAKIA WENYEWE!!!!!!!!!!!!
 
- Habari nilizozipata sasa hivi ni kwamba ni kweli Mheshimiwa Chenge, jana usiku alihusika na ajali ambayo ilisababisha wananchi wawili kuaga dunia, dereva wa gari walilokuwemo marehemu alikimbia kwa sababu zisizojulikana, na Mheshimiwa alikwenda kujisalimisha polisi leo, na sasa bado yupo mikononi mwa polisi,

- Na kwamba Jumatatu, atafikishwa rasmi mahakamani, nimeuliza kuhusu uwezekanow a dhamana, nikaambiwa kwamba uwezekano utakuwa ni mdogo sana kwa sababu inaweza kuhatarisha maisha ya mheshimiwa kutokana na hasira ya wafiwa, katika wakati huu ambao wanajitayarisha kuzika.

Ni hayo tu wananchi wenzangu.

William.
 
Back
Top Bottom