Zak Malang
JF-Expert Member
- Dec 30, 2008
- 5,404
- 233
Wana JF -- kuna habari kwamba yule Bwana wa Vijisenti, Andrew Chenge anashikiliwa na polisi kituo cha Oysterbay kwa kuua watu wawili kwa kugonga Bajaj. Habari zaidi bado hazijapatikana. Tafadhali fuatilieni habari hizi.
Gari la Chenge lililosababisha ajali
Bajaj iliyongongwa na Chenge na kusababisha vifo
Gari la Chenge lililosababisha ajali
Bajaj iliyongongwa na Chenge na kusababisha vifo
Last edited by a moderator: