Chenge ashikiliwa polisi kwa ajali ya gari iliyosababisha vifo

Yote hii ni shida ya usafiri wa nchi yetu. Nadhani Bajaj is cheaper than a tax??? Lakini hivi hawa drivers wa Bajaj wanajifunza wapi kuendesha? Wanapoendesha kando kando barabarani (barabara zenyewe finyu, mbaya) ni hatari sana na inataka moyo kuipanda Bajaj - Kabla hazijaruhusiwa ilitakiwa barabara zipanuliwe kwanza au ndio TUTABANANA HAPA HAPA???? Ni kweli ajali haina kinga - ila nampa pole mzee wa vijisenti - kwani record ya kuua maishani (hata kama ni bahati mbaya) inakufanya ukikumbuka upate presha - pole kwa waliofariki, pole kwa dereva wa Bajaj -
 
Pole kwa wafiwa wote make uyo mkubwa chenge yeye ataendelea kula nchi kwani nchi yetu kwa kulinda wakubwa tunaijua.
dito aliua wakapindisha mpaka Mungu naye kamchukua
Ni lini mnyonge ataeshimika Tanzania hii?
Watu tunashindwa kujitoa muanga kwa ajili ya wenzetu kisa kila mtu anajali maisha yake binafsi.
Watanzania huo muda umepitwa na wakati tusaidiane hasa kwenye shida sio kwenye harusi tu.
Bongo wezi wanavamia daladala moja ni nyingine zikiwa kwenye foleni lkn hakuna msaada wowote unaotolewa.Why? Kwanini?
 
Jee alikuwa anaendesha under the influance of Alcohol? Nakama alikuwa anaensha akiwa katika influance ya pombe, then what are the posibilities kwamba polisi waliangalia alcohol % ndani ya body yake?

I think hii ni kuuwa bila kukusudia (vehicular manslaughter) ambayo sijui kwa Tanzania law inaweza kukupa nyundo ngapi jela.

Nataka kujua zaidi ili kuangalia legality katika kesi.
 
Jamani- Mh Chenge muda wake wa kwenda viwanja ni saa sita usiku, mara moja moja huwa Level 8 kilimanjaro hotel. Inawezekana alikuwa anatoka sehemu kama hizo-lakini kama walivyosema wengine ajali haina kinga na hasa hao bajaj ni wa hovyo pengine kuliko hata daladala. Poleni sana wafiwa!!!!!
 
Hivi akihukumiwa kufungwa ,ule uchunguzi wa ufisadi dhidi yake utakuwepo au ndio itakuwa amesharuka ? Duniani kuna mipango mingi. Isije kuwa ni mishen town.
 
Hivi akihukumiwa kufungwa ,ule uchunguzi wa ufisadi dhidi yake utakuwepo au ndio itakuwa amesharuka ? Duniani kuna mipango mingi. Isije kuwa ni mishen town.

Hii haitakuwepo. Hii itakuwa kesi nyingine kabisa! uchunguzi utakuwa palepale.
 
Naona sasa Kova anaongea na waandishi.

Kumbe jamaa alikuwa anaendesha mwenyewe Toyota Hilux double cabin, aliigonga hiyo Bajaj na akaenda kulala kwanza, kaamua kujisalimisha mwenyewe.

Kwa mantiki hii, inawezekana kabisa mkuu Dar es Salaam uko sahihi alikuwa yuko bwii akaona aende baada ya kukaa sawa.

Sasa hapa ndio kesi inatakiwa iwe moto, sababu kwanza ni hit and run, pili ni lazima yeye aprove beyond resonable dought kwamba alikuwa sober. Nadhani hapa ndio mahala muafaka kwa kumfunga maisha huyu jamaa... Hii ingekuwa nchi za west District attorney angkuwa anashangilia, maana kubuild hii kesi ni simple.
Moja ameuwa bila kukusudia lakini akiwa amelewa
Pili, ni hit and run ambayo nadhani ni crime kwa Tanzania.
Combine hizi mbili then unaweza kumpeleka more than 20yrs jela.... Kama muendesha mashitaka kasoma sheria na sio kubabi hii kesi ni easy kushinda.
 
Kumbe hakuua ,yeye aliigonga bajaj kwa nyuma baada ya .bajaj kusimama kwa gafla kushusha kupakia abiria aliechelewa kuisimamisha ,na kwa ajili ya kutomwacha mteja huyo dereva akaziminya breki bila ya kuangalia kioo cha nyuma kama kuna mtu kakolea.
Kesi imemdandia dereva wa bajaji kwa kosa la uzembe.Habari kamili baadae
 
- Hizi habari kama ni za kweli basi ni very disturbing news, my heart goes to familia ya marehemu dereva wa hiyo bajaji,

- Wenzetu US siku hizi wamezi-adjust sheria za barabara kwa hiyo kwao sasa ajali inaangaliwa case by case sio generalization kama hapa kwetu, inasikitisha sana.

William.

William walofariki ni abiria wasichana wawili walokuwa wamepanda bajaji hiyo na si dereva
 
Kumbe hakuua ,yeye aliigonga bajaj kwa nyuma baada ya .bajaj kusimama kwa gafla kushusha kupakia abiria aliechelewa kuisimamisha ,na kwa ajili ya kutomwacha mteja huyo dereva akaziminya breki bila ya kuangalia kioo cha nyuma kama kuna mtu kakolea.
Kesi imemdandia dereva wa bajaji kwa kosa la uzembe.Habari kamili baadae

Si wanasemaga ukigonga gari kwa nyuma wewe ndie mwenye makosa? au haiaply siku hizi/kwa bajaj?

Bado anashikiliwa na police Chenge
 
Kumbe hakuua ,yeye aliigonga bajaj kwa nyuma baada ya .bajaj kusimama kwa gafla kushusha kupakia abiria aliechelewa kuisimamisha ,na kwa ajili ya kutomwacha mteja huyo dereva akaziminya breki bila ya kuangalia kioo cha nyuma kama kuna mtu kakolea.
Kesi imemdandia dereva wa bajaji kwa kosa la uzembe.Habari kamili baadae

Kusimama Ghafla sio tatizo, kwani chenge yeye hajui sheria za barabarani? kuna Safe distance amboyo dereva wa gari la nyuma anatakiwa kuwa from the front vehicle, hapa pia kuna swala la speed, kuna uwezekano kabisa alikuwa kwenye speed kubwa. dereva wa Bajaji hakuhitaji kuangalia nyuma kama ulikuwa ni usiku, au mzee wa vijisenti alikuwa amezima headlights????
 
Ni kweli Tanzania kesi ni ya kwako ukigonga kwa nyuma, hata kama wenzako hana brake lights.
Ila sasa naona masuala yamechaganyika, Mwiba amesema hajaua, kwa hiyo hakuna vifo vilivyosababishwa na ajali hii?
Chenge bado yupo polisi au la?
Hata hivyo kugonga kwa nyuma si kesi kubwa labda serikali na polisi waamue kuifanya kesi kubwa.
Lakini naomba niulize hivi vibajaji vimesharuhusiwa kuendesha barabarani maana the last I heard walikuwa wanakamtwa kule Ubungo na Mwenge na kutimuliwa na polisi kwa ajili ya kukosa leseni.
Alafu let us be fair, tunauliza Chenge alikuwa anatoka wapi saa 9 lakini mi pia najiuliza hawa wasichana walikuwa wanatoka wapi usiku saa 9 katikati ya wiki? Wazazi wao walikuwa wanafahamu kuwa watoto wao walikuwa wanazunguka mtaani na kibajaji usiku wa manane?
 
Sasa hapa ndio kesi inatakiwa iwe moto, sababu kwanza ni hit and run, pili ni lazima yeye aprove beyond resonable dought kwamba alikuwa sober. Nadhani hapa ndio mahala muafaka kwa kumfunga maisha huyu jamaa... Hii ingekuwa nchi za west District attorney angkuwa anashangilia, maana kubuild hii kesi ni simple.
Moja ameuwa bila kukusudia lakini akiwa amelewa
Pili, ni hit and run ambayo nadhani ni crime kwa Tanzania.
Combine hizi mbili then unaweza kumpeleka more than 20yrs jela.... Kama muendesha mashitaka kasoma sheria na sio kubabi hii kesi ni easy kushinda.

Kwanza ndugu yangu katika kesi ambazo ninaziita za kijinga ni hizi za traffic. Aliyekufa anakuwa siku zote ana makosa. Na usisahau siku hizi hakuna ule msemo MNYONGE MNYONGENI HAKI YAKE MPENI ila MYONGE MNYONGENI AKAFIE MBALI. Hapa nasikia dereva wa bajaj yupo hai. Lakini sitoshangaa hili zigo likamwangukia! Wanasema alisimama ghafla,, lakini kwa wajuao sheria na dereva aliyepitia chuoni na kuelewa kuendesha gari kuna kitu inaitwa keep distance between you car and the front one. Hii inakusaidia kufanya maamuzi sahihi unapoona gari ya mbele kusimama ghafla. Hivyo kama Chenge angekuwa na umbali kidogo angeweza kuokoa maisha ya hawa abiria. La pili ni kwa nini hakusimama na kusubiri askari wa usalama barabarani waje kupima ajali? Kama aliogopa kuvamiwa basi alitakiwa aende moja kwa moja kituo cha polisi na sio nyumbani kwake. Tuelewe kuwa Chenge anafahamu sheria hivyo hakukimbia kwa bahati mbaya!
Hata hivyo naamini kuwa bwanamdogo wa Bajaj analo hili. Wakubwa hatugongi ila wadogo ndo hugonga!
 
Amah yaani hakuwa hata na moyo wa kuwasaidia majeruhi? au alijua kuwa weshakufa? mh ingekuwa kule kwetu ningeshahisi katoa kafara kesi ya vijisenti sijui Rada isahaulike lakini kwa vile niko mjini basi ni bahati mbaya ajali tu
 
Mara ya kwanza nimesoma heading ya thread nilishtuka sana yaani Chenge kaua watu 2 kwa risasi halafu baadae tumepata habari kamili kwa kina zaidi, asante kwa aliye edit heading ya thread.
Inawezekana ni ajali ya kawaida ila kisheria lazima ashikiliwe kwa muda kwa upelelezi tena watu wamefariki kwenye hiyo ajali.
Pole sana kwa familia ya hao mabinti inasikitisha yaani mtu unaweza kutoka nyumbani au mahali vizuri ila usifike unaoenda.
 
Kusimama Ghafla sio tatizo, kwani chenge yeye hajui sheria za barabarani? kuna Safe distance amboyo dereva wa gari la nyuma anatakiwa kuwa from the front vehicle, hapa pia kuna swala la speed, kuna uwezekano kabisa alikuwa kwenye speed kubwa. dereva wa Bajaji hakuhitaji kuangalia nyuma kama ulikuwa ni usiku, au mzee wa vijisenti alikuwa amezima headlights????

kaka,wewe umesoma driving school au unaendesha tu?..si kila anaegonga gari la mwenzie kwa nyuma basi amefanya makosa,lazima ujue kuwa huyo dereva wa bajaj alisimama katika mazingira gani,kama alisimama tu katikati ya barabara na kushusha/kupakia abiria hilo halitokuwa kosa la chenge...hiyo ajali imetokea usiku wa manane ambapo kwa muda huo barabara huwa zimetulia na hakuna msongamano wa magari hivyo cha kwanza kitakachomfanya chenge awe kwenye wakati mgumu labda awe amekutwa amekunywa pombe.
 
Atashikiliwa kidogo mala mtasikia kawekewa dhamana mara kosa la bajaj kesi kwishney
 
Back
Top Bottom