Nyambala
JF-Expert Member
- Oct 10, 2007
- 4,465
- 1,170
Mbishi ni wewe, Mkuu Mwiba! Tangu lini usajili unakuwa na period? Unasajili gari tarehe fulani lakini si kuanzia tarehe fulani hadi tarehe fulani! Hata mimi nisie na gari naweza kutambua hilo. Na hivi tangu lini Commissioner wa Bima anasajili magari?
Ubishi usio na maana ndio unakuangusha katika mada zako zote.
Amandla...........
Wakuu mtatoana macho bure ile ya juu ni rd licence. Well kutokana na hiyo kuwa valid mpaka siku ajali inatokea very likely hata insurance ilikuwepo ambayo ni valid lakini haikubandikwa. Ntamshangaa sana muheshimiwa AC kama alikuwa anakumbuka ku-update rd licence lakini bima hakumbuki. Maaana bima ndiyo the most important.
Angalizo jingine kuhusu hiyo receipt hapo juu ni kwamba maandishi yake ni ya kuchapisha wakati ya biima siku zote huwandikwa kwa peni maaluum.