Katika ulimwengu wa sasa,ulimwengu ambao watanzania wengi wana uelewa na kuweza kuhoji kila sentensi inayotolewa na Kiongozi,ni wazi kuna haja yakurekebisha Bunge letu.
Baada ya utumushi wa Spika Ndugai,nimelinganisha na Spika aliepita vs mahitaji ya wananchi kwa sasa.
Nimekubali kuwa Mama Makinda alilimudu Bunge.
Sijawahi kuona Spika dhaifu katika uhai wa Bunge letu kama Ndugai.
Sababu kubwa za udhaifu wa Ngugai ni mbili.
1.Hakuwa Chaguo la Rais Magufuli,Ndugai alijataliwa na chaguo lao alikuwa Dr.Tulia .
Ndugai akapiganiwa na wafia chama,waliposhindwa nguvu hadi wapinzani wakaingilia kati,nakumbuka Zitto Kabwe alihaha usiku kwa usiku kuhakikusha Ndugai anaputishwa na CCM kuwa Mgombea wa Uspika.
Ni wazi watu waliangalia madhara wanayoweza kupata wananchi na taasisibya Bunge ikiwa Tulia angekuwa Spika wa Bunge.
Tangu hapo,ndugai alijiona ni Marginalized .
Akaanza kusaka kukubalika mbele ya Rais Magufuli kiasi cha kusahau kuwa yeye ni kiongizi wa muhimili unaotakiwa kuisimamia serikali ya Rais Magufuli.
Hapo ndipo mambo yalipoharibikia,Ndugai akachagua kuwa kiongozi alijisalimisha kwa serikali na kugeuka kuwa muhimili wa kudhibiti bunge.
Yaani Ngugai yupo pale kupambana na wabunge waluochagua badala ya kupambana na mawaziri wanaotoa majibu yasiyotekelezeka.
Huyo ndio Ndugai alieushiwa pumzi.
2.Ugonjwa,Ndugai baada ya kuapishwa kuwa Spika,aliugua na kulazimika kwenda matibabu India.
Akiwa India Naibu Spika ndiye aliliongoza Bunge,alifanya kila jambo kuhskikisha Ndugai akirudi asiwe na nguvu wala ushawishi wowote kwa Bunge na serikali,ukweli Dr.Tulia alimnyoosha.
Nakumbuka Tulia alirejesha fedha za Bunge serikalini huku wabunge wakiwa hawana hata fedha za Stationary.
Ndugai aliporejea,alilazimishwa kufuata mifumo iliyokwisha simikwa na Tulia.
Kwa nguvu aliyomkuta nayo Tulia ,Spika alilazimika kumnyenyekea Tulia ili Uspika wake usihojiwe kwenye chama.
Kwa sababu hizo mbili ndio chanzo cha Udhaifu wa Ndugai.
Lakini Ndugai mwenyewe kwa binafsi yake sio dhaifu,ni kiongozi shujaa na makini.
Kakini kazidiwa nguvu,na namna pekee ya kulinda cheo chake ni kuungana na watu ambao yeye anaamini hawezi kushindana nao.
Msimshambulie jamani,kufanya hivyo kunazidi kumuumiza,kunamuharibu kisaikolojia.
Jinsi ya Kumsaidia Nguga kwa sasa ni kumshauri ashuke kutoka kwenye nafasi ambayo yeye sio chaguo.
Abaki kuwa mbunge wa kawada,bila shaka ataendelea kutafuna posho na marupurupu ya Spika,tutamwita Spika Mstaafu.
Nafasi yake apewe Mtemi Chenge,Huyu ni msomi wa sheria,jasiri na mtu mwenye roho ngumu.
Akipewa kiti cha Spika,hata chama cha mapinduzi kitaimarika,serikali itawajibishwa bungeni kwa nguvu mpya,ari mpya na kasi mpya.
Chenge kwa sasa hana chakupoteza,na zaidi ya yote ni mwanaseria aliebobea akiwa kasoma chuo bora Dunuani.
Kama na wewe unamkubali Chenge kuchukua nafasi ya ndugai weka maoni yako.
Muhimu maoni yako yakenge kumsaidia Ndugai kuliko kumbedha,kumbagaza na kumdhalilisha.
Nawasilusha.
CC.Jackton Mnyerere,Pasco,Yeriko,Udertaker,Jingalao,
Baada ya utumushi wa Spika Ndugai,nimelinganisha na Spika aliepita vs mahitaji ya wananchi kwa sasa.
Nimekubali kuwa Mama Makinda alilimudu Bunge.
Sijawahi kuona Spika dhaifu katika uhai wa Bunge letu kama Ndugai.
Sababu kubwa za udhaifu wa Ngugai ni mbili.
1.Hakuwa Chaguo la Rais Magufuli,Ndugai alijataliwa na chaguo lao alikuwa Dr.Tulia .
Ndugai akapiganiwa na wafia chama,waliposhindwa nguvu hadi wapinzani wakaingilia kati,nakumbuka Zitto Kabwe alihaha usiku kwa usiku kuhakikusha Ndugai anaputishwa na CCM kuwa Mgombea wa Uspika.
Ni wazi watu waliangalia madhara wanayoweza kupata wananchi na taasisibya Bunge ikiwa Tulia angekuwa Spika wa Bunge.
Tangu hapo,ndugai alijiona ni Marginalized .
Akaanza kusaka kukubalika mbele ya Rais Magufuli kiasi cha kusahau kuwa yeye ni kiongizi wa muhimili unaotakiwa kuisimamia serikali ya Rais Magufuli.
Hapo ndipo mambo yalipoharibikia,Ndugai akachagua kuwa kiongozi alijisalimisha kwa serikali na kugeuka kuwa muhimili wa kudhibiti bunge.
Yaani Ngugai yupo pale kupambana na wabunge waluochagua badala ya kupambana na mawaziri wanaotoa majibu yasiyotekelezeka.
Huyo ndio Ndugai alieushiwa pumzi.
2.Ugonjwa,Ndugai baada ya kuapishwa kuwa Spika,aliugua na kulazimika kwenda matibabu India.
Akiwa India Naibu Spika ndiye aliliongoza Bunge,alifanya kila jambo kuhskikisha Ndugai akirudi asiwe na nguvu wala ushawishi wowote kwa Bunge na serikali,ukweli Dr.Tulia alimnyoosha.
Nakumbuka Tulia alirejesha fedha za Bunge serikalini huku wabunge wakiwa hawana hata fedha za Stationary.
Ndugai aliporejea,alilazimishwa kufuata mifumo iliyokwisha simikwa na Tulia.
Kwa nguvu aliyomkuta nayo Tulia ,Spika alilazimika kumnyenyekea Tulia ili Uspika wake usihojiwe kwenye chama.
Kwa sababu hizo mbili ndio chanzo cha Udhaifu wa Ndugai.
Lakini Ndugai mwenyewe kwa binafsi yake sio dhaifu,ni kiongozi shujaa na makini.
Kakini kazidiwa nguvu,na namna pekee ya kulinda cheo chake ni kuungana na watu ambao yeye anaamini hawezi kushindana nao.
Msimshambulie jamani,kufanya hivyo kunazidi kumuumiza,kunamuharibu kisaikolojia.
Jinsi ya Kumsaidia Nguga kwa sasa ni kumshauri ashuke kutoka kwenye nafasi ambayo yeye sio chaguo.
Abaki kuwa mbunge wa kawada,bila shaka ataendelea kutafuna posho na marupurupu ya Spika,tutamwita Spika Mstaafu.
Nafasi yake apewe Mtemi Chenge,Huyu ni msomi wa sheria,jasiri na mtu mwenye roho ngumu.
Akipewa kiti cha Spika,hata chama cha mapinduzi kitaimarika,serikali itawajibishwa bungeni kwa nguvu mpya,ari mpya na kasi mpya.
Chenge kwa sasa hana chakupoteza,na zaidi ya yote ni mwanaseria aliebobea akiwa kasoma chuo bora Dunuani.
Kama na wewe unamkubali Chenge kuchukua nafasi ya ndugai weka maoni yako.
Muhimu maoni yako yakenge kumsaidia Ndugai kuliko kumbedha,kumbagaza na kumdhalilisha.
Nawasilusha.
CC.Jackton Mnyerere,Pasco,Yeriko,Udertaker,Jingalao,