Pdidy
JF-Expert Member
- Nov 22, 2007
- 50,956
- 22,138
Wapendwa mliosoma magazeti ya jana na juzi
nimeshangaa kuona mzee wetu chenge akikanwa na kampuni ya bima alioleta mahakamani
na kuambiwa aijatoka kwake na hiyo alioleta na ya gari aina ya PAJERO na sio hiyo gari yake
akasema hiyo gari iko osterbay na ilipata ajali miaka miwili iliopita na ameshalipwa
Je wanasheria hii ni kesi juu ya kesi ama na adhabu yake nini kuiletea mahakama bima ya mtu mwingine??
nimeshangaa kuona mzee wetu chenge akikanwa na kampuni ya bima alioleta mahakamani
na kuambiwa aijatoka kwake na hiyo alioleta na ya gari aina ya PAJERO na sio hiyo gari yake
akasema hiyo gari iko osterbay na ilipata ajali miaka miwili iliopita na ameshalipwa
Je wanasheria hii ni kesi juu ya kesi ama na adhabu yake nini kuiletea mahakama bima ya mtu mwingine??