Katika hali inayoonyesha kuyakwepa mafisadi papa, Magufuli amekacha kula chakula kilichokuwa kimeandaliwa na mtemi Chenge kule Bariadi. Tukio hilo limetokea leo wakati Magufuli alipohutubia Bariadi na baada ya kumaliza mkutano alikaribishwa chakula nyumbani kwa Chenge, lakini akakataa katakata na ikamulazimu atembee siku nzima bila kula chakula. Watu wa ndani wanasema Magufuli hayupo tayari kushirikiana na mafiasdi hata kidogo.