SAGAI GALGANO
JF-Expert Member
- Nov 13, 2009
- 43,707
- 60,760
Ni genge la kigaidi hawana tofauti na bokoharamSiyo ni kama , hiki ni chama kamili cha ibilisi .
Ni genge la kigaidi hawana tofauti na bokoharamSiyo ni kama , hiki ni chama kamili cha ibilisi .
Na uzao huu pia hatuutaki Tanzania.Tanzania ni nchi takatifu ,ni marufuku msaliti kukanyaga aridhi hii
Hilo ni choko kitambo sana hata wazazi wake wameshampiga marufuku kukanyaga kwao alianza kamchezo akiwa mdogo sana.wewe mwenyewe ni SHOGA ndio maana unajua balozi wwako haya niambie ulienda kwenye kikao alichoitisha shoga mwenzako B a s h i t e
Makao Mkuu ya CCM Dodoma kulizizima na kusheheni mipango ya viwango mbalimbali juu ya ujio wa Mwanasiasa Tundu Lissu aliyetarajia kurejea nchini Jumamosi ijayo, Septemba 7 mwaka huu. Ilipangwa mipango ya 'kuharibu' na 'kufifisha' mapokezi yake Uwanja wa Ndege Dar es Salaam kupitia makada wa CCM. ZILIPISHANA nyaraka za haraka na maagizo yenye vibwagizo kuhusu jambo hilo.
Makada wa CCM walipanga kuwasilisha barua leo POLISI kuomba kibali cha maandamano ya amani ya tarehe 7 Septemba mwaka huu kuunga mkono juhudi za Mawakili wa Serikali kuipambania ndege yetu inayoshikiliwa kwa amri ya Mahakama huko nchini Afrika ya Kusini. Kuwasilishwa kwa maombi hayo POLISI kungepelekea kupigwa marufuku maandamano na mkusanyiko wowote ule tarehe hiyo na nyingine kwa sababu za kiintelijensia.
Makada walijipanga kukubaliana na uamuzi wa POLISI haraka ikiwa na baraka na kujitokez kusisistiza umuhimu wa kutii sheria na maelekezo ya POLISI bila shuruti, baruti wala mashuti. Makada wangejiandaa kuona jinsi 'wapokeaji' wa Lissu wangesambaratishwa kwa Ilani ya POLISI na hivyo wao kukenua kwa furaha isiyo na karaha. Mipango ilipangika barabara.
Jana, akihojiwa na BBC, Lissu alisema kuwa safari yake ya kurejea nchini iliyokuwa ifanyike tarehe 7 Septemba mwaka huu haitawezekana kwakuwa Daktari wake amesema anahitaji kumuona tarehe 1/10/2019 na 18/10/2019 na hivyo safari yake itakuwa baada ya hapo. Kutokana na ahirisho hilo la safari ya Lissu, 'waliopania kuvuruga mapokezi yake' wamelazimika kupangua mipango yao kwa tabu na aibu kubwa.
Kila mpango mpya utakaosukwa utaanikwa hapahapa JF!
Mzee Tupatupa wa Lumumba (Dodoma, Tanzania)
Kama matusi ndo psychological therapy kwako endelea tuu lakini kiminyio kitaendelea mpaka mwisho. Ujinga hapa hapana.
cc..... wajinga wote wa lumumba akiwemo chairman wa SADCMakao Mkuu ya CCM Dodoma kulizizima na kusheheni mipango ya viwango mbalimbali juu ya ujio wa Mwanasiasa Tundu Lissu aliyetarajia kurejea nchini Jumamosi ijayo, Septemba 7 mwaka huu. Ilipangwa mipango ya 'kuharibu' na 'kufifisha' mapokezi yake Uwanja wa Ndege Dar es Salaam kupitia makada wa CCM. ZILIPISHANA nyaraka za haraka na maagizo yenye vibwagizo kuhusu jambo hilo.
Makada wa CCM walipanga kuwasilisha barua leo POLISI kuomba kibali cha maandamano ya amani ya tarehe 7 Septemba mwaka huu kuunga mkono juhudi za Mawakili wa Serikali kuipambania ndege yetu inayoshikiliwa kwa amri ya Mahakama huko nchini Afrika ya Kusini. Kuwasilishwa kwa maombi hayo POLISI kungepelekea kupigwa marufuku maandamano na mkusanyiko wowote ule tarehe hiyo na nyingine kwa sababu za kiintelijensia.
Makada walijipanga kukubaliana na uamuzi wa POLISI haraka ikiwa na baraka na kujitokez kusisistiza umuhimu wa kutii sheria na maelekezo ya POLISI bila shuruti, baruti wala mashuti. Makada wangejiandaa kuona jinsi 'wapokeaji' wa Lissu wangesambaratishwa kwa Ilani ya POLISI na hivyo wao kukenua kwa furaha isiyo na karaha. Mipango ilipangika barabara.
Jana, akihojiwa na BBC, Lissu alisema kuwa safari yake ya kurejea nchini iliyokuwa ifanyike tarehe 7 Septemba mwaka huu haitawezekana kwakuwa Daktari wake amesema anahitaji kumuona tarehe 1/10/2019 na 18/10/2019 na hivyo safari yake itakuwa baada ya hapo. Kutokana na ahirisho hilo la safari ya Lissu, 'waliopania kuvuruga mapokezi yake' wamelazimika kupangua mipango yao kwa tabu na aibu kubwa.
Kila mpango mpya utakaosukwa utaanikwa hapahapa JF!
Mzee Tupatupa wa Lumumba (Dodoma, Tanzania)
Umelogwa mhaya was kisutu weweWewe nae1 sisi tulijua hawezi kuja, na ninakuhakikishia hata baada ya hizo tarehe hatakuja kama mnavyofikiria. Chezea ndevu sio serikali.
CCM mafala tu ngoja tuone wale watumishi wakupongeza juhudi za meko hiyo trh 7 na wale walimu wasiojitambua badala waandamane kulipwa stahiki zao na malimbizo ya mishahara ya miaka nenda rudi wanaandamania ujinga wa ccm
Wapi nilipo tukana?Umeishiwa matusi? Mbona umeanza kuwa simple sana kwenye matusi! Ongeza matusi makali kabisa.
Daaaah kama ndio hivyo lisu nae kaharibu angetakiwa aseme tarehe hiyo hiyo hataweza kufika baada ya hawa kutoa la kwao hapo ndio lingewashuka shuuuMakao Mkuu ya CCM Dodoma kulizizima na kusheheni mipango ya viwango mbalimbali juu ya ujio wa Mwanasiasa Tundu Lissu aliyetarajia kurejea nchini Jumamosi ijayo, Septemba 7 mwaka huu. Ilipangwa mipango ya 'kuharibu' na 'kufifisha' mapokezi yake Uwanja wa Ndege Dar es Salaam kupitia makada wa CCM. ZILIPISHANA nyaraka za haraka na maagizo yenye vibwagizo kuhusu jambo hilo.
Makada wa CCM walipanga kuwasilisha barua leo POLISI kuomba kibali cha maandamano ya amani ya tarehe 7 Septemba mwaka huu kuunga mkono juhudi za Mawakili wa Serikali kuipambania ndege yetu inayoshikiliwa kwa amri ya Mahakama huko nchini Afrika ya Kusini. Kuwasilishwa kwa maombi hayo POLISI kungepelekea kupigwa marufuku maandamano na mkusanyiko wowote ule tarehe hiyo na nyingine kwa sababu za kiintelijensia.
Makada walijipanga kukubaliana na uamuzi wa POLISI haraka ikiwa na baraka na kujitokez kusisistiza umuhimu wa kutii sheria na maelekezo ya POLISI bila shuruti, baruti wala mashuti. Makada wangejiandaa kuona jinsi 'wapokeaji' wa Lissu wangesambaratishwa kwa Ilani ya POLISI na hivyo wao kukenua kwa furaha isiyo na karaha. Mipango ilipangika barabara.
Jana, akihojiwa na BBC, Lissu alisema kuwa safari yake ya kurejea nchini iliyokuwa ifanyike tarehe 7 Septemba mwaka huu haitawezekana kwakuwa Daktari wake amesema anahitaji kumuona tarehe 1/10/2019 na 18/10/2019 na hivyo safari yake itakuwa baada ya hapo. Kutokana na ahirisho hilo la safari ya Lissu, 'waliopania kuvuruga mapokezi yake' wamelazimika kupangua mipango yao kwa tabu na aibu kubwa.
Kila mpango mpya utakaosukwa utaanikwa hapahapa JF!
Mzee Tupatupa wa Lumumba (Dodoma, Tanzania)
N wewe ni bendera fuata nini ?WE NAE BENDERA FUATA UPEPO TU.
Hizo Serikali ni ngapi zilianguka!!!? Kama Napolion alianguka, naye Hitler na mwenzi wake Mussolini wakafa kama mende, unatamba nini Sasa!!? Mhe. Lisu atarudi nchini mwake, na Mungu aliyemwokoa na risasi 38 hajafa, Yu hai milele na milele.Wewe nae1 sisi tulijua hawezi kuja, na ninakuhakikishia hata baada ya hizo tarehe hatakuja kama mnavyofikiria. Chezea ndevu sio serikali.
Kuna watu HAPA DUNIANI WANAPUMUA kwakuwa SINA GOBOLETanzania ni nchi takatifu ,ni marufuku msaliti kukanyaga aridhi hii
Kaka hujawahi kutuangusha kwa loloteMakao Mkuu ya CCM Dodoma kulizizima na kusheheni mipango ya viwango mbalimbali juu ya ujio wa Mwanasiasa Tundu Lissu aliyetarajia kurejea nchini Jumamosi ijayo, Septemba 7 mwaka huu. Ilipangwa mipango ya 'kuharibu' na 'kufifisha' mapokezi yake Uwanja wa Ndege Dar es Salaam kupitia makada wa CCM. ZILIPISHANA nyaraka za haraka na maagizo yenye vibwagizo kuhusu jambo hilo.
Makada wa CCM walipanga kuwasilisha barua leo POLISI kuomba kibali cha maandamano ya amani ya tarehe 7 Septemba mwaka huu kuunga mkono juhudi za Mawakili wa Serikali kuipambania ndege yetu inayoshikiliwa kwa amri ya Mahakama huko nchini Afrika ya Kusini. Kuwasilishwa kwa maombi hayo POLISI kungepelekea kupigwa marufuku maandamano na mkusanyiko wowote ule tarehe hiyo na nyingine kwa sababu za kiintelijensia.
Makada walijipanga kukubaliana na uamuzi wa POLISI haraka ikiwa na baraka na kujitokez kusisistiza umuhimu wa kutii sheria na maelekezo ya POLISI bila shuruti, baruti wala mashuti. Makada wangejiandaa kuona jinsi 'wapokeaji' wa Lissu wangesambaratishwa kwa Ilani ya POLISI na hivyo wao kukenua kwa furaha isiyo na karaha. Mipango ilipangika barabara.
Jana, akihojiwa na BBC, Lissu alisema kuwa safari yake ya kurejea nchini iliyokuwa ifanyike tarehe 7 Septemba mwaka huu haitawezekana kwakuwa Daktari wake amesema anahitaji kumuona tarehe 1/10/2019 na 18/10/2019 na hivyo safari yake itakuwa baada ya hapo. Kutokana na ahirisho hilo la safari ya Lissu, 'waliopania kuvuruga mapokezi yake' wamelazimika kupangua mipango yao kwa tabu na aibu kubwa.
Kila mpango mpya utakaosukwa utaanikwa hapahapa JF!
Mzee Tupatupa wa Lumumba (Dodoma, Tanzania)