CHEMSHA UBONGO: Kitu gani hakipo sawa kwenye picha hii??

FWBTZ

Member
Sep 20, 2018
90
88
58870178-2129943663727278-3786117025517010944-n.jpg
 
1-Paka yupo kwenye nyumba ya ndege
2-Picha imegeuzwa chini juu
3-Miwani ya huyo dogo inatofautiana size ya lensi
4-birika inamimina chai pasipo kikombe chini
5-lile jiko la moto ni la umeme ila ule unaotoka ni moto wa kuni
6-kile kioo inaonekana kimemiss mshikio mmoja
7-meza karibu na baba haina mguu mmoja
8- baba(or whoever he is) anasoma gazeti juu chini
9-binti anakoroga chai na kisu badala ya kijiko
10-Anayekula mkate slace(slesi) hazilingani
11-Mtoto anaupa mdoli chakula
12-Mshumaa umekuwa connected na umeme

nimemaliza. weka lingine.


 
- Paka yupo kwenye nyumba ya ndege
-Picha imegeuzwa chini juu
-Miwani ya huyo dogo inatofautiana size ya lensi
-birika inamimina chai pasipo kikombe chini
-lile jiko la moto ni la umeme ila ule unaotoka ni moto wa kuni
-kile kioo inaonekana kimemiss mshikio mmoja
-meza karibu na baba haina mguu mmoja
- baba(or whoever he is) anasoma gazeti juu chini
-binti anakoroga chai na kisu badala ya kijiko

wengine endeleeni
Umesahau mgeni kapewa gazeti asome wenye nyumba wanakula.


Ndukiiiii 🏃‍♂️🏃‍♂️🏃‍♂️
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom