Chemsha bongo: Thibitisha hapa kuwa wewe una vyeti orijino

Jibu ni c 10000 kumbuka 8000 uliyomrudishia mteja na 2000 uliyobaki nayo umeitoa kwa jirani baada ya kuomba chenji hivyo basi ile pesa feki ukirudishiwa na jirani na ww kumrudishia pesa yake original inamaana ya kwamba ile hasara sasa iko kwako ambayo ni thamani ya mkate 2000 na 8000 ya chenji.
Kwa hiyo 2000 ulio baki nayo na ten utakayo mpa jiran ambayo ni og na ww kubaki na feki huku umerudisha chenji ya 8000 bado tu unakua umekula hasara 10??? Acha uzuzu
 
Kwanza ule mkate tuseme bei yake ya kiwandani ilikuwa ni tsh 1500/=,muuza duka akaweka faida ya tsh 500/= hapo ndipo akapata bei ya tsh 2000/=

sasa ili upate hasara inatakiwa uuze ule mkate kwa bei ya chini kuliko ile bei uliyonunua kiwandani,na ili upate faida ilitakiwa uuze ule mkate kwa bei ya tsh 2000/=ikiwa na maana umeongeza mia tano ambayo ndio faida yako.

Sasa yule muuza duka alipokea tsh 10000/= ya bandia halafu akaenda kubadilishana na tsh 10000/= halali,akaja akampa chenji yule jamaa tapeli ya tsh 8000/= na mkate wenye thamani ya tsh 1500/=(ni kweli ule mkate ulitakiwa kuuzwa kwa tsh 2000/= lakini kwakua bado ulikuwa haujauzwa basi thamani yake ni ile ile ya kiwandani ambayo ni tsh 1500/= hatuwezi kuijumlisha na ile faida ya 500/= tuliotegemea kuipata kwasababu bado tulikuwa hatujaipata na huwezi kuhesabu kitu kama faida kama bado hujakipata).

baada ya hapo wewe unabaki na tsh 2000/= lakini hii tsh 2000/= huwezi kuihesabu kwasababu sio yako ni ya yule jamaa aliyekupa chenji,

sasa anakuja kukudai unarudishia hela yake wewe unabaki empty. Sasa hasara yako wewe ni ule mkate wenye thamani ya 1500/= na ile elfu nane jumla hapo ni 8000+1500=9500/= hasara yako wewe ni tsh 9500/=.
Ww ni zwazwa wala c bashite dah sa ndo mwanao utamjaza upupu huu lazima awe chiz
 
ile 10000 inayozunguka mda wote toka kwa mteja kuja kwako mpka kwa jirani ni fake...kwa hyo itoe kwny mahesabu..yn tupa kapuni..

inshu imeanzia hapa...
jirani yako alikupa change ya sh10000 tena halali. sasa tayr una 10000 halali,,, katika hela ile alokupa jirani unampa mteja sh 8000 na mkate wake wa 2000...yani imepotea kama ilivo,,,, inamana hapo wew dukan hujaingiza kitu......isipokuwa umepoteza 10000 kwa kumpa mteja 8000 na mkate juu.......atakua anajisifu sana huko aliko mana nisawa na kusema umempa vyote hvo bureee............haya tuendelee

baada ya kama dk 5 jirani anakustua,,, oyaa hela ulonipa ni fake,,, bs kwa mara nyngne tena unaamua kuchukua 10000 yako nzuri kabisa na kumpa jirani.

HITIMISHO
8000 Ulompa mteja+2000 ya mkate+10000 ulompa jirani-10000 fake=20000.

umepata hasara ya sh 20000.


mlatinoh king
Umeelezea vizuri sema net hasara anayopata muuza mkate ni 10000.Jirani amekuchanganya.
Jaribu kuweka scenario iwe hivi...uwe unauza mikate sema huna pesa yoyote mfukoni.Mteja akija na elfu kumi itabidi ukaombe change halafu umpe mteja mkate na elfu nane na wewe ubaki na elfu mbili tu mfukoni.Mpaka hapo hujagusa hela yako yoyote.
Jirani anapokuja kukudai itakubidi ukatoe sasa hela yako elfu nane uongeze na ile elfu mbili umpe.Kwahiyo umepata hasara ya elfu kumi net.usichanganyikiwe.
 
kuna thamani ya mkate tsh 2000+ elfu 8000 ya yule boya aloleta feki + 10000 ya kumrudishia jirani =20000



The answer is 20000 no bashitelism.
 
Ww ni zwazwa wala c bashite dah sa ndo mwanao utamjaza upupu huu lazima awe chiz
Kama vile mama yako alivyokujaza upupu na umekuwa chizi unatoa majibu yanayoakisi uhalisia wako,na haujui ulifanyalo.Tafadhali pita pembeni sio lazima uquote comment yangu kwa jibu la matusi mi sio mume wako,heshima kitu cha bure,kwani huwezi kutoa jibu bila konesha namna gani unawashwa.play your part muthafacka, mine ain't enough for you.

"A wise man says something because he has something to say,but a fool says something because he has to say something"--Plato

"the best never rest"
 
Jibu elfu 18.mnunuzi kaondoka tu na elfu 8. Thamani ya mkate aliouchukua usiihesabie kwa sababu tayari mwuzaji ameishakata elfu 2 zake na anazo mfukoni mwake. Sasa jumlishia elfu kumi alizotoa tena kwa jirani jumla ni elfu 18
Bigup, we kidume
 
Hasara ya elfu 10. Yaani umetoa elfu 10 ukampa mwenyewe hela fake elfu 8, na mkate wa elfu 2.
 
Hasara ni Tsh 18000.
Mteja kaondoka na pesa halali Sh 8000 na mkate wenye thamani ya Sh 2000 jumla kaondoka na 10000, kwa jirani ulichukua sh 10000 ambayo ukatoa sh 8000 kama change na kubakiwa na 2000 pesa halali, alivyokuja kugundua kuwa na fake na kutaka umrudishie ulimpa sh 10000 ambayo ndani yake kulikuwa na ile 2000 halali yake, so ukaongezea sh 8000 yako ambayo ni halali na kufanya hasara iwe Tshs 18000.
 
Hasara ni Tsh 18000.
Mteja kaondoka na pesa halali Sh 8000 na mkate wenye thamani ya Sh 2000 jumla kaondoka na 10000, kwa jirani ulichukua sh 10000 ambayo ukatoa sh 8000 kama change na kubakiwa na 2000 pesa halali, alivyokuja kugundua kuwa na fake na kutaka umrudishie ulimpa sh 10000 ambayo ndani yake kulikuwa na ile 2000 halali yake, so ukaongezea sh 8000 yako ambayo ni halali na kufanya hasara iwe Tshs 18000.
Swali fikirishi ile elfu nane ilitoka kwa nani? Kama kweli imepotea 18000.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom