FRANCIS DA DON
JF-Expert Member
- Sep 4, 2013
- 35,847
- 40,437
- Thread starter
- #41
๐๐๐๐, kosaYamepungua kwa 38.2%
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
๐๐๐๐, kosaYamepungua kwa 38.2%
UmekosaYamepungua kwa 86%
Mamba wangekuwa nchi kavu wanakula watu vijijini๐kwamba maji yamepungua kwa 92.5%..dah! Haya tumsubiri mwenye chemsha bongo yake.
hahahahaaMamba wangekuwa nchi kavu wanakula watu vijijini๐
40%Kama Tanzania inazalisha umeme kwa 65% gesi na kwa 35% maji, hivyo jumla ni 100%.
Na ghalfla Tanesco akasema uzalishaji umeme umepungua kwa 21% kutokana na kupungua kwa kiwango cha maji;
Je, maji kwenye mabwawa yamepungua kwa asilimia ngapi? Nitatoa jibu baadae kidogo
TANESCO
Update: Atakaepata nitamuwekea 5,000/= kwa wakala, ๐๐
60% FRANCIS DA DONKama Tanzania inazalisha umeme kwa 65% gesi na kwa 35% maji, hivyo jumla ni 100%.
Na ghalfla Tanesco akasema uzalishaji umeme umepungua kwa 21% kutokana na kupungua kwa kiwango cha maji;
Je, maji kwenye mabwawa yamepungua kwa asilimia ngapi? Nitatoa jibu baadae kidogo
TANESCO
Update: Atakaepata nitamuwekea 5,000/= kwa wakala,
Hiyo 24%umepataje hapo??
Umepata
Ni 14, nilijichanganya. Gas kwakuwa haijapungua means inazalisha 65% ya umeme uliokiwa unazalisha kabla ya upungufu. Uzalishaji umeme umepungua kwa 21% kutokana na kupungua kwa maji, hivyo uzalishaji wa sasa ni 79% ya jumla ya umeme uliokuwa unazalisha kabla ya upungufu, maana yake maji yanazalisha 24% tu ya jumla ya umeme uliokuwa unazalisha kabla ya upungufu wa maji [(79% - 65%)=14%]. Kwahiyo uwiano (ratio) wa kabla na baada ni (14 : 35) , kwa fractions (sehemu) inakuwa (14/35), kwa percentage (asilimia) unafanya mara 100% unapata kwamba maji ya sasa ni 40% tu ya yaliyokuwa kabla ya upungufu, hivyo katika 100% kilichopungua ni 60%.Hiyo 24%umepataje hapo??
Mkuu em fanya math yako vizuri. 79-65 ni 24 au 14Gas kwakuwa haijapungua means inazalisha 65% ya umeme uliokiwa unazalisha kabla ya upungufu. Uzalishaji umeme umepungua kwa 21% kutokana na kupungua kwa maji, hivyo uzalishaji wa sasa ni 79% ya jumla ya umeme uliokuwa unazalisha kabla ya upungufu, maana yake maji yanazalisha 24% tu ya jumla ya umeme uliokuwa unazalisha kabla ya upungufu wa maji [(79% - 65%)=24%]. Kwahiyo uwiano (ratio) wa kabla na baada ni (24 : 35) , kwa fractions (sehemu) inakuwa (24/35), kwa percentage (asilimia) unafanya mara 100% unapata kwamba maji ya sasa ni 68% tu ya yaliyokuwa kabla ya upungufu, hivyo katika 100% kilichopungua ji 32%.
Umepata
Kausha, nishaedit ๐๐๐Mkuu em fanya math yako vizuri. 79-65 ni 24 au 14
Mbona nimeshaedit muda tu, jibu ni 60%You are the one who is wrong. Its 14 na sio 24. That makes it 14:35 ambayo ni 40% so maji yamepungua kwa 60%....unless your approach is also wrong!!!
Ni 60%
Daa, umepata
40% ni kiwango cha maji cha kuzalisha umeme 14% ili kufikia 35% ya kiwango chake cha mwanzo 60% itahitajika iongezeke, hivyo maji kwenye mabwabawa yamepungua kwa 60%
Nadhani ulipo andika 24 ulijichanganya baada ya kuandika 14.Jibu liko post namba 44
Yeah, maji yamepungua by 60%40% ni kiwango cha maji cha kuzalisha umeme 14% ili kufikia 35% ya kiwango chake cha mwanzo 60% itahitajika iongezeke, hivyo maji kwenye mabwabawa yamepungua kwa 60%
Nadhani ulipo andika 24 ulijichanganya baada ya kuandika 14.