Kyenju
JF-Expert Member
- Jun 16, 2012
- 4,621
- 1,706
Niko njiani naelekea Tegeta kutokea maeneo ya Mwenge na mvua inanyesha maji yanatiririka sana mitaroni. Lakini nimeshangaa nilpofika maeneo ya CHEMICOTEX ni karibu na njia panda AFRIKANA kuna harufu mbaya kama vile kumefunguliwa maji machafu au vitu vilivyooza, watu wa mazingira jaribu kuangalia kuna nini.