Soka island
New Member
- Jul 14, 2021
- 1
- 3
klabu ya soka ya jijini london Chelsea imewasilisha ofa ya £100m kwa ajili ya kumpata kiungo mshambuliaji wa Juventus, Federico Chiesa lakini Juventus wanaendelea kushikilia msimamo kuwa kijana huyo n center ya project yao na hauzwi
Source; SPORT BILD
Source; SPORT BILD