Chelsea na dili la Federico Chiesa

Soka island

New Member
Jul 14, 2021
1
3
klabu ya soka ya jijini london Chelsea imewasilisha ofa ya £100m kwa ajili ya kumpata kiungo mshambuliaji wa Juventus, Federico Chiesa lakini Juventus wanaendelea kushikilia msimamo kuwa kijana huyo n center ya project yao na hauzwi

Source; SPORT BILD
 
Huyu tunampa mwaka mmoja, kiwango kitashuka tu
Chiesa kiwango hakitashuka, akiflop anabakia hapo hapo, ial kwa umri wake anaweza kupanda sana ila hatakuwa mfungaji wa kiwango cha Haaland for sure
 
Back
Top Bottom