Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 117,600
- 218,002
Huu ndio ukweli ninaoujua , na hili linachangiwa sana na Abramovic kutokulifahamu soka , na ndio maana aliweza kumwachia timu kocha wa ajabu Avram Grant.
Huwezi kuacha makocha wote bora wa dunia ukaja kuchagua mtu kwa style ya Bahatisha Ndulute .
Sisi yetu macho tu
Huwezi kuacha makocha wote bora wa dunia ukaja kuchagua mtu kwa style ya Bahatisha Ndulute .
Sisi yetu macho tu