Hii ilikuwa mechi ya kujiandaa na ile ya jumatano, hiki ndio kitakacho wapata Atletico

chelseagroupcelebdembabagoalvlfc20140408_576x324.jpg
 
Kabla ya game, wapinzani waliutembelea huu Uzi wa Chelsea sana tu, sasa Naona wote wameingia kibindoni kama nilivyosema mwanzo........
Sasa wametuachia uzi wetu, unafiki uliwaleta huko walipo hawana hamu kabisa
 
hongereni sana inauma ila Chelsea job well done Morinho lazima tumor sifa zake vitu nilivyoviona wamemuwekea a suarez watu wawili jengine amehakikisha Raheem hakimbii na mpira hakuna kuingia ndani jengine muhimu Lucas Leo kwa LFC alikuwa mbovu ila alipotolewa Morinho alisema thank akamuweka willian anayetuliza na kucheza kilichobaki Lampard na Matic wamehakikisha mpira hauingii kati, Cole na Azpuliceta wamehakikisha winger za LFC zife kwahili Mwalimu wa Rogers Morinho na Chelsea well done na mashabiki wa Humu welldone wa Chelsea. LFC fan YNWA!



Ata darajani ilikua hivi

Raheem, Cotinho, Suarez Yani wote wale bado sn!
 
Hongereni Mafioso Chelsick kwa kuwabangua Loser Fools lakini mwaka huu mnatoka patupu. Naona mlikuwa na nyege ya kuwaongezea miaka ya kuchubiri ... ..... .... ... 23 years and still counting.

BTW pamoja na kuzoa point 6 kutoka kwa
Mancs na sita nyingine kutoka kwa Loser Fools bado hamtachukua kikombe. You're anti football ... ..... ..... Thats the bottom line.


 
Liverpool wana kazi ya ziada kwa kweli maana hata iweje hawachukui kombe na wasipoangalia watakuwa nafasi ya tatu
 
Hongereni Mafioso Chelsick kwa kuwabangua Loser Fools lakini mwaka huu mnatoka patupu. Naona mlikuwa na nyege ya kuwaongezea miaka ya kuchubiri ... ..... .... ... 23 years and still counting.

BTW pamoja na kuzoa point 6 kutoka kwa
Mancs na sita nyingine kutoka kwa Loser Fools bado hamtachukua kikombe. You're anti football ... ..... ..... Thats the bottom line.

Also, don't forget you were RIP at Anfield.

Bora kuwa anti-football badala ya kuwa pro-football na kutundukwa mara 7, mara sijui 5 mara sijui 6.

images
rodgers-wenger-tko.jpg
 
Again Jose anathibitisha ni master wa big match,walichofanya ni kumkaba Sterling na Suarez ambao ndio wamekuwa wanaibeba Liverpool hivi karibuni,alivyoingia Willian nikajua atafunga au atatengeneza goli.Morinyo amemuonyesha mwanafunzi wake(Rodgers) bado hajaiva
 
153 Reactions
Reply
Back
Top Bottom