Bobbyray
JF-Expert Member
- Dec 3, 2015
- 1,361
- 1,742
Lawama kwa kepa zinatoka wapi embu angalia saves alizofanya ndo usemeMendy amefungwa magoal mangapi kama yale?
Huwa mnaangalia mpira kweli?
Lawama kwa kepa zinatoka wapi embu angalia saves alizofanya ndo usemeMendy amefungwa magoal mangapi kama yale?
Huwa mnaangalia mpira kweli?
Hehehehe hahahahaha hehehehehe hahahahahahaOdoi
Ziyech
Pulisic
Ni aibu kuendelea kuwa nao kikosini. Chelsea huko nyuma hatujawahi kuwa na mawinga ovyo kama hawa jamaa.
Mount:- Huyu ni mchezaji wa SUB.
What plan bro???Tuchel atakuja na Plan second half.
Kipindi cha pili??? Next year au!Bado naona tuna nafasi ya kushinda kipindi cha pili
Kipindi cha kwanza tumecheza ufyongo mkubwa sana. TT anajitahidi kuwaelekeza wapande Juu ila naona wachezaji mipira mingi wanarudisha nyuma, kipindi cha pili tutegemee mabadiliko makubwa katika uchezaji na kwa hakika Man city ategemee kupata shida.
Hongera sana kwa Rudigur hakika amejua kuitendea haki nafasi aliyopo leo. Alonso anampa mzigo mkubwa san dogo Sar kwan hayuko makini kbsa, Kova naye naona hayuko kimchezo kbsa. Ziyech ndo amepwpweta balaa. Tuiombee kipindi cha pili tuwashangaze watoto wa Kipara
Ukiondoa save moja kubwa. Ile against Grealish. Kuna nyingine?Lawama kwa kepa zinatoka wapi embu angalia saves alizofanya ndo useme
Kuna maboya ya humu kila siku yanang'ang'ana kusema eti Kanye kashindikana EPL, emagine walitaka apewe kabisa Ballon😅.Kwani N'golo kante kamgalagaza tena KDB?
Wale mambanga hamna kitu wametuzidi ..basi tu bahati haikuwa yetu😀😀OllaChuga Oc mbwa wamekula kalio
Kepa kafanya saves 4 Soo moja ..au wewe haujacheki mpira niniUkiondoa save moja kubwa. Ile against Grealish. Kuna nyingine?
Okay hajapata threat za maana, timu ilikaa sana nyuma ili kifukia madhaifu yake na yale ya Sarr.
At least Christensen angekuwepo huenda angeweza kuanza badala ya Sarr.
Wewe tulia ubingwa bado upo mikononi mwetu soon tu hapo takataka city atapoteanaBye bye ubingwa na Top 4 ipo rehani soon
Cheki hii takataka ..tungeshinda ungesema Hivi? Kuna kiungo Kama Kanye dunia hii ya Sasa..?Kuna maboya ya humu kila siku yanang'ang'ana kusema eti Kanye kashindikana EPL, emagine walitaka apewe kabisa Ballon😅.
Kante ni kiazi mmoja tu.
Wewe takataka ata kuandika ujui ..em nenda memkwa ukafundishwe kuandika😂😂Nitanyengeneza nyimu ambanyo nyila nyimu itaogopa kunyeza nayo.
Sisi ndio Chelsea ..wale takataka man shity walikuwa fulu mkoko lakini wanapata ushindi wa kuunga unga vile?!OllaChuga Oc huko alipo akicheki ubaoView attachment 2082458
Niliongelea suala la timu kukaa nyuma kulinda madhaifu ya Kepa na Sarr. Uliielewa Logic yangu?Kepa kafanya saves 4 Soo moja ..au wewe haujacheki mpira nini
Mkuu hahahahaha dah mabingwa wa ulaya na EPL mpo salama?Hii game TT ndio kaiuwa kwa mbinu zake... Yaani Chelsea wanacheza ktk ubora wa hali ya juu sn. Yaani kiwango cha juu mno na spirit ya upambanaji ya khali ya juu sn.
Hawa jamaa ni mabingwa aisee wa ulaya na EPL
Hatuna beki mkuu ..beki zote majeruhi wengine Wana Corona ..unaakutana na city ambaye amekamilika kila kitu ..unategemea kutumia mfumo gani ili kupata matokeo mbele ya city? Hata mwndy angekuwepo bado ngoma ingekuwa ngumu tu. Kepa kafanya saves za kutosha sema ndio hivyo tumepigwaNiliongelea suala la timu kukaa nyuma kulinda madhaifu ya Kepa na Sarr. Uliielewa Logic yangu?
Kepa amekuwa exposed leo kana Mendy alivokuwa exposed kwenye game ya Liver?
Hahahaha dah tabia za mabingwaJamani hakuna haja ya kufanya uchambuzi wowote!
Pongezi nyingi zimwendee kocha TT kwa ubora wake wa mbinu na kufanya sub za ukweli!
Chelsea kwa Mara ingine tena wameonyesha tabia za kuwa bingwa wa EPL kwa kuisumbua kabisa spurs...
Spurs walikuwa wazuri ktk first half lkn second half wamekiona cha moto.
Kudos nyingi sn kwa TT kwa kumrudisha tena ktk kiwango cha juu sn Marcos Alonso....
Chelsea wanatisha sn....
Who is next in EPL? Man City ajiandae.... Ngoja tumalizane kwanza na Aston Villa J5 ktk carabao cup then tuje tukutane na Man City siku ya jumamosi....
vipi Title contenders mnaendeleajeNimeanza kuamini maneno ya Thomas Tuchel ya kwamba anataka kutengeneza timu ambayo hakuna timu itapenda kucheza na wao!
Yaani ni shida yaani ni shida....
Alafu nimemsikia Michael Owen akichambua mchezo wa leo kasema kwa uwazi kabisa kuwa Chelsea atakuwa Bingwa kutokana na ubora wao na wanavyocheza. Na kwamba ili timu iweze kuwafunga Chelsea lazima iwe na ubora kuwazidi wao...
View attachment 2082596
Ngolo Kante highlights against City
Ubingwa ndio huu ndugu zanguHakika Chelsea ni Mabingwa wapya 2021/2022 nami nimeamini hivyo, mpaka Rudiger kafunga goli tamu namna ile?
Tuombe tu uzima ili tuje tusherehekee vizuri ubingwa wa EPL
Sent from my CPH2185 using JamiiForums mobile app
Chelsea hatukuwa na bahati nzuri mwaka huu kwa kupatwa na majeruhi wa5 na wagonjwa wa COVID wachezaji 9.Nyie kenge wa blue ,tushawambia kaeni mbali na sisi z cityzen ...
Hamuwezi ki magoli ..
Hamuwezi kupiga ki corner ..
Hamtuwezi ki shots on Target ..
Hamtuwezi ki possession ..
Hamtuwezi dribbling ..
Hamtuwezi kwenye pressing ...
Nyie hamna tofauti na mbwa ,yaani ni underdog ...
Tukutane next season ....