ryana fan
JF-Expert Member
- Apr 27, 2018
- 2,632
- 3,051
Jana nilikuwa naomba Mungu tuu Kante awe kwenye ubora wake kwa sababu Kroos na Modric walipania sana game, majamaa wamejuta kukutana na binadamu mwenye mapafu ya farasi
Ha ha hahaaaaa. Kante was Every whare in the pitch. Ng’olo Kante