MASON MOUNT VS FRANK LAMPARD STATS

FROM THEIR 100 GAMES DEBUT

Mount
Lampard
Games:100100
Starts:8394
Sub appearances:176
Goals:1615
Assists:137
Penalties scored:10
Minutes per goal:461.1568
Minutes per non-penalty goal: 491.8568
Minutes per goal or assist: 254.4387.2
 
Kesho kovacic hatokuwepo
.
Game ya kesho ni ngumu sana, watu tunaichukulia rahisi ila ni game ngumu sana, tunaweza kuwa na advantage ila naona hii game bado iko 50/50

Yote kwa yote naimani tutashinda kitu kikubwa ni kuanza kuwafunga na tusikubali kutanguliwa
Kama atakuwepo ktk game yetu na Man City itakua vzr zaidi ili tuwakimbize kweli kweli.
 
Kesho kovacic hatokuwepo
.
Game ya kesho ni ngumu sana, watu tunaichukulia rahisi ila ni game ngumu sana, tunaweza kuwa na advantage ila naona hii game bado iko 50/50

Yote kwa yote naimani tutashinda kitu kikubwa ni kuanza kuwafunga na tusikubali kutanguliwa
Kama atakuwepo ktk game yetu na Man City itakua vzr zaidi ili tuwakimbize kweli kweli.
 
Kesho kovacic hatokuwepo
.
Game ya kesho ni ngumu sana, watu tunaichukulia rahisi ila ni game ngumu sana, tunaweza kuwa na advantage ila naona hii game bado iko 50/50

Yote kwa yote naimani tutashinda kitu kikubwa ni kuanza kuwafunga na tusikubali kutanguliwa
Tuombe Mungu Confidence ya wachezaji iendelee, form ikishuka tutakuwa kwenye hali ngumu sana
 
Tuchel on Winning Plan against Sergio Ramos

“If we play with no striker at all and Ramos has nothing to fight then that can also be a solution. I have not made my mind up yet. It’s another challenge because he is the leader of their group and he is the guy to give a lot of solutions to any questions that we will hopefully ask them.
 
Tuombe Mungu Confidence ya wachezaji iendelee, form ikishuka tutakuwa kwenye hali ngumu sana
Naam game ni ngumu sn hii yaani ata Zidane kesho anakuja akiwa na hasira. Na watacheza open game kwa nguvu ili wapate goli na wakipata goli tu watajilinda mpk mpira uishe.
 
Naam game ni ngumu sn hii yaani ata Zidane kesho anakuja akiwa na hasira. Na watacheza open game kwa nguvu ili wapate goli na wakipata goli tu watajilinda mpk mpira uishe.
Yeah naona hata hii mechi wameipania ukiangalia hata wale wachezaj waliotoka majeruhi n waliokuwa wanaumwa wote wamejumuishwa

Kesho tunahitaji kuwa makini kwa dakika zote 90
 
Kuna muda najiuliza hivi hawa Chelsea wanavimba kuwa wameshafuzu uefa ,unabaki unacheka tu..

Aggregate 1-1

Wanayecheza nae ,katulia tu ,real Madrid ..

Hizi takataka ni kila kona kuimba wameshafuza ,huyu Madrid akiwafunga goli moja ,tayari Hamna chenu ,sasa unabaki unajiuliza hawa kenge wanajivunia nini hasa .?

Aisee
Umeandika pumba tupu, Madrid ni utopolo tu,ilikua tuwapige nje/ndani wamshukuru werner
 
Kweli PSG hawana tofauti na wamasai na usithubutu kamwe kuwapa dhamana wanaweza wakakuachia shuka.

Magoli gani yale wanayofungwa hadi unajiuliza alimfungaje Bayern Munich kwa ubovu wa ukuta wao huu???

Sent from my CPH2185 using JamiiForums mobile app

Sent from my CPH2185 using JamiiForums mobile app
Dk ya 80++ hawana hata on target moja
 
Yaani mliwafunga man city B ya kina sterling na jesus mnavimba ...


Kwanza tunakuja kutangaza ubingwa kwenu ,then kama tukikutana final..


itabidi muandike barua ya kujihudhuru kwenye mashindano kwan moto mtakaokutana nao ni kilio
 
Back
Top Bottom