Gpili
JF-Expert Member
- May 18, 2020
- 2,181
- 2,080
Hizi bangi umechanganya na nn aseeeChelsea sisi wa kutusumbua may be City au Bayern. Basiiiii
Hizi bangi umechanganya na nn aseeeChelsea sisi wa kutusumbua may be City au Bayern. Basiiiii
Utahama Sana timu Kwa muda km mlivyo nyumbu mnapohama kutoka Serengeti kwenda Masai mara Kenya😂Jana mlibebwa kabisa lile goli ni offside clear ...hii team inashinda kwa njama za marefa
Jana mlibebwa kabisa lile goli ni offside clear ...hii team inashinda kwa njama za marefa
ujui mpiraJana mlibebwa kabisa lile goli ni offside clear ...hii team inashinda kwa njama za marefa
Pundamilia kama pundamilia,nakutafuna jpiliHizi bangi umechanganya na nn aseee
Mkuu tafadhali naomba unishirikishe hiyo page au link maana naapata taabu sana kutazama mpira online.kunapage flan huku twitter n mteremko tu, me nacheki mech zote live na HD
Mkuu nilidownload BURMA TV na ilikuwa inafanya kazi vizuri sana lakini sasa hivi haifanyi kazi. Pia jana nilidownload hii ya LIVE FOOTBALL TV nayo haifanyi kazi kiongozi wangu, sijui hata nifanyeje!Download app inaitwa live football tv ipo poa sana
Na hata kama ni offside, ni dhambi kukataa goli kama lile lenye hadhi ya nyota tatu.ujui mpira View attachment 1710873
tpaul Nenda playstore download LIVE FOOTBALL TV STREAMING chini yake imeandikwa MR-Sport hiyo ipo poa sana.Juzi nilicheki game yetu vizuri Sana.Mkuu nilidownload BURMA TV na ilikuwa inafanya kazi vizuri sana lakini sasa hivi haifanyi kazi. Pia jana nilidownload hii ya LIVE FOOTBALL TV nayo haifanyi kazi kiongozi wangu, sijui hata nifanyeje!
Haina shida nafasi ya Mount atacheza Kai na ya Jorginho atacheza Kante The PivotMason Mount na Jorginho hawatacheza mchezo wa marudiano na Atletico Madrid kwa sababu ya Njano nyingi
Kwa hiyo muda wote huo umejificha unakuja na sababu laini kama hii. Goli limefungwa kiufundi lile. Sio kama Pernandez 🤣Jana mlibebwa kabisa lile goli ni offside clear ...hii team inashinda kwa njama za marefa
Mi naona anaweza na yy akaja na mfumo wa back 3Wakuu naomba maoni yenu ni approach gani atakuja nayo Ole na Utd yake j2 kuikabiri Chelsea?
Ni kweli lkn kwa ATM na Diego Simeon ni kocha wa Hovyo sn watakuja Darajani wakiwa moto sn yaani watatusumbua sn. Huo mchezo utakua ni mgumu sn kuliko huu wa kwanza ulio pita.Chelsea haijawahi kutolewa michuano ya UEFA ikiwa imetangulia kushinda
Hii game ya 2 itamuhitaj thiago silva maana pale nyuma bila thiago huwa pagumu mabek wanafanya error za ovyoNi kweli lkn kwa ATM na Diego Simeon ni kocha wa Hovyo sn watakuja Darajani wakiwa moto sn yaani watatusumbua sn. Huo mchezo utakua ni mgumu sn kuliko huu wa kwanza ulio pita.
ATM watakuja na team work moja. Watashambulia kwa nguvu wote kwa pamoja na kukaba wote kwa nguvu kwa pamoja na watajitahidi sn wao kumiliki mpira yaani waizidi Chelsea possession.
Hiyo game Tuchel hatomuanzisha Odoi ktk upande wa Wingback ya kulia tunahitaji kua na defender kweli huo upande kwahiyo James atafaa zaidi maana km atawekwa Odoi yeye sio mzuri ktk kukaba hivo ATM huo upande watautumia sn.
Vile vile wanaweza kuja kutumia udhaifu wa mbio wa Alonso maana Alonso hana kasi ktk kukikmbia kwahiyo huo upande nao watautumia sn.
Tutegemee kuona mchezo mgumu sn uliojaa mbinu na ushindani ingawa mpk sasa Tuchel ameonyesha uwezo mkubwa wa mbinu kuliko Diego. Maana aliiwazidi ATM kila kitu. Hebu imagine DK 90, ATM hawakua na shoot ata moja on Target. Hii ni mbaya sn kwa Cholo.