OllaChuga Oc
JF-Expert Member
- Jul 4, 2016
- 21,126
- 24,062
Abraham atupwe Championship hana kiwango cha kucheza timu kubwa kama Chelsea.
Sent from my SM-A305F using JamiiForums mobile app
Sent from my SM-A305F using JamiiForums mobile app
Sometimes alikua anacheza pembeni ila mara nyingi alikua anacheza katiHii timu ya taifa, nauliza club
Giroud anaanza kuprove kwamba anapaswa kuwa first team. Ila kumuita Abraham takataka ni kitendo kisicho cha kistaarabuHat trick hero, Giroud.
Sio unatupangia takataka Abraham
Giroud anaanza kuprove kwamba anapaswa kuwa first team. Ila kumuita Abraham takataka ni kitendo kisicho cha kistaarabu
Sometimes alikua anacheza pembeni ila mara nyingi alikua anacheza kati
Hata mimi nashangaa mkuuHivi nyie jamaa si tumeambiwa hamna uwanja, sasa inakuwaje mnashinda migoli mingi kutupita sisi wenye uwanja?
Hata mimi nashangaa mkuu
Nilitaka kusema hii hii point. Timo anafurahia kucheza wide winga wa kushoto kuliko striker, japo ukweli ni kuwa Timo kafunga magoli mengi alipocheza kama striker no. 9Timo mwenyew anasema anapenda Sana kutokea pembeni sababu anapenda Sana kucheza mpira
Pulisic akiwa ful fit kushoto acheze yeye maana anao uwezo wa kupunguza watu tofauti na timoNilitaka kusema hii hii point. Timo anafurahia kucheza wide winga wa kushoto kuliko striker, japo ukweli ni kuwa Timo kafunga magoli mengi alipocheza kama striker no. 9
Ila kwa sababu striker wa kufunga magoli tunaye, Timo asaidiane na Pulisic kushoto na Odoi na Ziyech wapambanie kulia. Giroud na Tammy wapambanie hapo katikati
Nakubaliana na ww ila bado tuna kazi kubwa ya kufanya na hiyo ni kumaintain hii perfomanceSasa hivi nimehamisha macho yangu kutoka kwa City kuja kwenu, huku nikimweka Mourinho kama msindikizaji msumbufu.
Ila nyie mpaka sasa naona ni contenders.
Hii kitu sikuwahi kujua kwamba Timo anafurahia Zaidi akicheza wing kuliko strikerNilitaka kusema hii hii point. Timo anafurahia kucheza wide winga wa kushoto kuliko striker, japo ukweli ni kuwa Timo kafunga magoli mengi alipocheza kama striker no. 9
Ila kwa sababu striker wa kufunga magoli tunaye, Timo asaidiane na Pulisic kushoto na Odoi na Ziyech wapambanie kulia. Giroud na Tammy wapambanie hapo katikati
Hao wapuuzi achana nao wanakosa point wanajaribu kujitafutia vi maada wakihisi watatukeraJukwaa limepoaaa, sipati picha kama tungepoteza mechi ya jana. Kule facebook kuna mtu alijiapiza kabisa kuwa chelsea inapoteza mechi. Majukwaa ya wale wanaomiliki viwanja hali sio shwari kabisa
Ni kweli kabisaUache unafiki kwa sababu hata nyie Arsenali mlimponda mkasema aliuzwa kwa sababu alikosa namba kwa akina Lagazeti
Jukwaa limepoaaa, sipati picha kama tungepoteza mechi ya jana. Kule facebook kuna mtu alijiapiza kabisa kuwa chelsea inapoteza mechi. Majukwaa ya wale wanaomiliki viwanja hali sio shwari kabisa
Siumiagi mimi, mimi ni jiwe..Mkuuu kwema? Maumivu ya Last week yameisha?
Jamaa una moyo mkubwa sana. Umepenyaje kuingia kwenye huu uzi?Mkodisho fc mnashindwa hata na ile shule ya karatu,