Gpili
JF-Expert Member
- May 18, 2020
- 2,181
- 2,080
Timu tunayo usipokuwa hatuna cocha, Lampard alitakiwa apewe mkataba mfupi,hajui kabisa kupanga timu analazimisha kuwachezesha baadhi ya wachezaji nje na nafasi zao mfano mount,pulsic anaudhi sana.Ila ukweli usemwe chelsea hatuna timu.
Mei naona afadhali hata mwaka jana kabla hajasajiri naw simuelewi lampard na very soft coach hana tactics za kushinda kabisaMimi sioni improvement hata kidgo
juan david Je ikitokea Mendy akaumia Caballero na kepa both wazima je unaweza ukamuanzisha Peter cech badala ya Caballero na kepa?Kajumlishwa kama kipa wa dharura endapo ikitokea makipa wote wa 3 wamepata maambukizi ya corona kwa wakati mmoja au kwa kutofautiana siku chache, hapo ndipo tutamuona cech
Team tunayo ila kocha hatuna.Ila ukweli usemwe chelsea hatuna timu.
Mbona james jana kacheza vizuriUnampiga bench azplicueta mtu anaepush timu kisa James kweli?
Hiyo ya Mount ndio ile watu wanasemaga "mapenzi kazini"Aisee tuwe wakweli wachezaji tunao ila hatuna kocha kitu kilichonishangaza jana ni kocha kiukweli sikutarajia mount aanze first eleven,nilichojifunza pia kingine ni kuwa lampard kaamua ziyech na pulisic wagombanie nafasi ila mount lazima awepo tupende au tusipende.
Haitowezekana, coz nafasi yake wamesema ni kama emergency cover ndio maana lamps amesema hategemei kumuona cech akicheza ila kutokana na hali ilivyo ya corona wameamua kumjumuisha tu endapo atakapohitajika atacheza ikiwa tu magk wote wanaumwa/majeruhijuan david Je ikitokea Mendy akaumia Caballero na kepa both wazima je unaweza ukamuanzisha Peter cech badala ya Caballero na kepa?
Amejumuishwa kama emergency cover, atacheza tu pale makipa wote 3 watakapokuwa unavailable kutokana na hali ya sasa jins ilivyoWakati Arsenal wamemtema Ozil kwenye squad, Chelsea wamefanya hiki View attachment 1606988
Jana defensive tulikuwa solid hii ilichangiwa na uwepo wa silva na ile double pivot jana imejitahid kulinda back 4
Shida jana ikawa iko mbele kutokana na lamps kupanga wachezaj nje ya nafasi zao na hichi kitu kikatufanya tukose creativity mbele
Wikiend hii tuko n man utd, tunahitaj kuona ile front 4 yetu tunayoitaka na si kumuona mount anaanza kama LW, wakat LW tunao
Amejumuishwa kama emergency cover, atacheza tu pale makipa wote 3 watakapokuwa unavailable kutokana na hali ya sasa jins ilivyo
Kwa nini team zinapopata injury ya magk kwa nini wasitumie hao from U18,U21 na badala yake huwa wanaenda kunua kipa mwingineNa kwako unaona kama ni jambo la kawaida , au unataka watu wachukulie ni kawaida
Hapa tunaongelea technical director ujue,
Emergency could be U23, U21, U18... Why Technical Director