Anaua teamLampard hatufai kabisa
Mimi sioni improvement hata kidgoAnaua team
Sioni mninu zozote zaidi tu ya uwezo wa wachezaji alafu upuuzi mwingine anaweza kuufanya nikumbakisha jorginho naona muda si mrefu atakula red card Pulisic anamchezesha out of position ilamradi mtoto wake mpendwa achezeLampard hatufai kabisa
Taratibu tutaelewana tu humu, kila siku huwa nasisittiza kuwa Lampard ni kocha wa mazungumzo.Lampard hatufai kabisa
Kwa mbali sana naanza kukuelewaTaratibu tutaelewana tu humu, kila siku huwa nasisittiza kuwa Lampard ni kocha wa mazungumzo.
Lampard hawezi na hatoweza kutupeleka nchi yenye asali na maziwa japo ana nyota ya ushindi kwa baadhi ya mechi.
Lakini kusajili tu Lampard nampa 100% anajua sana kuchagua wachezaji wazuri.
Sent from my ONEPLUS A3010 using JamiiForums mobile app
Pulisic akicheza mount inabid awe benchSioni mninu zozote zaidi tu ya uwezo wa wachezaji alafu upuuzi mwingine anaweza kuufanya nikumbakisha jorginho naona muda si mrefu atakula red card Pulisic anamchezesha out of position ilamradi mtoto wake mpendwa acheze
Kajumlishwa kama kipa wa dharura endapo ikitokea makipa wote wa 3 wamepata maambukizi ya corona kwa wakati mmoja au kwa kutofautiana siku chache, hapo ndipo tutamuona cechlembu naomba msaada kujumlishwa kea Peter cech kwenye kikosi 25 kinachopiga ligi kuu ya England hii imekaaje?
Lampad piga kazi. Over