koboG
JF-Expert Member
- Apr 3, 2016
- 2,448
- 4,293
Team ya kawaida sana sema imebaki jina tuSijaangalia mechi za Bayern msimu huu. Ubora wao upo wapi?
Sent using Cash Money Wings
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Team ya kawaida sana sema imebaki jina tuSijaangalia mechi za Bayern msimu huu. Ubora wao upo wapi?
Sent using Cash Money Wings
Daah mtaumia roho zenu kushabikia maumivu. Haya maneno atleast ungeyasema wakati tunaenda kwao.Yaliyomkuta kungwi na mwali yatamkuta tu....kila la kheri Bavarian,
London is Red
Sent using Jamii Forums mobile app
. Mechi ya kesho Chelsea anahitaji umakini mkubwa hasa kwa defenders pale mbele Bayern kila mtu anjua kufunga so serious making is neededUbora wao upo kwenye striking force pamoja na mabeki wa pembeni.
Mimi naamini Bayern wanafungika hawana ubora kama ule waliokua nao kipindi kile.
Sent using Jamii Forums mobile app
Hawezi, labda aingie 20 minsNakuunga mkono asimilia 💯 ila yule Lampard Kuna wakati anakuwa mpuuzi utashangaa ataanza na Abraham, Giroud atamuweka benchi hapo ndo anaponichosha Lampard.
Ila mimi ninampenda Barkley, ana touches chache lakini za uhakika. Barkley kakomaa kidogo akicheza na Willian na Giroud tunaweza wasumbua kule mbeleLakini kuhalisia unadhani atampanga nani na nani kuziba nafasi za Mont na Barkley? Ndio maana nikasema ni aidha mmoja wao au wote wakaanza kikosi cha kwanza.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kuongoza ligi mbele ya Leipzig na Dortmund sio lelemamaSijaangalia mechi za Bayern msimu huu. Ubora wao upo wapi?
Sent using Cash Money Wings
Subiri kijana time will tell.Naona vikao vya ndugu vinaendelea ila natumaini hakuna shabiki wa Chelsea ambae akili yake hipo kwenye ubingwa wa Uefa sijuhi nipo sawa wakuu
Embu tuwe serious hivi Bayern awe na jambo lake hivi Mount -Abraham-kepa watafanya nini hawa ?
Cityzen chairman am here
Acha dream kakaSubiri kijana time will tell.
Mfumo wanaocheza Bayern ni 3 - 4 - 2 - 1
Nadhani tuingie na mfumo wa 3 - 4 - 3 twende nao sambamba.
Pulisic - Giroud - Willan
Alonso - Kovacic - Joginho- Azipiculeta
Rudger - Christensen - JamesView attachment 1367824
Naona vikao vya ndugu vinaendelea ila natumaini hakuna shabiki wa Chelsea ambae akili yake hipo kwenye ubingwa wa Uefa sijuhi nipo sawa wakuu
Embu tuwe serious hivi Bayern awe na jambo lake hivi Mount -Abraham-kepa watafanya nini hawa ?
Cityzen chairman am here
Acha dream kaka
Football ni Game Ya what you have ?
Mimi naamini sana kupitia EtihadWe unashabikia timu gani? Tuanzie hapo. Maana bayern tutamtoa na hutoamini
Sent using Jamii Forums mobile app
Kuna kiumne kinaitwa Serge Gnabry.....hahahaha alishaleta taharuki hapo London na akathibisha kuwa London is Red....ila Lewandosky,Coutinho bado wapo katika viwango vya juu mno...Sijaangalia mechi za Bayern msimu huu. Ubora wao upo wapi?
Yaani roho inauma sana hasa pale mnapomtaja Mount hivi huyu Dogo hata 120min Anaweza kucheza kweli mbona uwezo wake ni wa kawaida sana
Jamani embu tuwe serious kwenye football
Umeanza kushabikia lini mpira?Mimi naamini sana kupitia Etihad
Kaka Bayern level nyingine huwezi fananisha na Valencia -ajax hawa wote ni underdog kwake Pamoja na chelsea
Chelsea siyo arsenal.Kuna kiumne kinaitwa Serge Gnabry.....hahahaha alishaleta taharuki hapo London na akathibisha kuwa London is Red....ila Lewandosky,Coutinho bado wapo katika viwango vya juu mno...
Ushauri wangu kwako jirani ni ujipange kisaikolojia.
NB: Hakuna msiba uliokosa waombolezaji....
Sent using Jamii Forums mobile app
kaka I promise ntarudi na speed ya ndege Ikiwa ardhini 850speed
kwaheri kaka ila kesho tukutane hapa darajani saa 7:07 usiku