Aiseee hebu mpe heshima yake diego costa... Hivi wewe ulishaona Diego Costa analaumiwa kama anavolaumiwa Tammy? Hata kama Diego alikuwa hafikishi goals 20 kwa msimu? Unadhani kwanini?

Simply ni kwamba kipindi cha nyuma wanaofunga katika team walikuwa wengi tofauti na sasa...

Huenda Diego Costa angekuwa pale mbele kwa team ha sasa angekuwa hata na 15+ goals kwa team ya sasa...
Ndugu, Diego hakuvungiwa heshima yeyote, dogo anavunja rekodi yake asubuhi na mapema. Heshima ya mastrikers ni magoli tu wala sio sura. Kama Tammy atavuka magoli 20 ya costa hapo heshima si imevunjwa, Hata Drogba atavunjiwa heshima tu not so far

Drogba mechi 226 magoli 100
wastani wa magoli 16 kwa mechi 38 kila msimu
Costa mechi 89 magoli 52
Wastani wa magoli 22 kwa mechi 38
Tammy atafikisha magoli 25-30 kwa msimu
 
Baada ya January mambo yatakuwa hivi
LINE-UP-Chelsea-XI-after-January-Spree-Updated.jpg
 
Mashabiki wagawanyika kuhusu hii fursa ya CAS

One supporter tweeted: ” WE’RE BUYING THE LEAGUE.”

Another commented: “We didn’t even need to sign players.”

A third added: “Buying Chilwell would complete our squad.”

While another said: “I hope they don't go back to their old ways. Lampard could be building something special.”

One added: “CAS have overturned Chelsea’s transfer ban but I want us to maintain this squad and we shouldn’t spend in January but wait till summer to get top notch players to compete for trophies in our second spell under Lampard!!!”
 
CHELSEA have reportedly held talks with Wilfried Zaha's agent over a potential summer move.
 
Kufanya usajili wa kueleweka january inaweza kuwa ngumu...

Mfano leicester city saiv wapo moto... Kumuuza chiwell january inaweza kuwa kazi... labda mwisho wa msimu....
Baada ya January mambo yatakuwa hivi
LINE-UP-Chelsea-XI-after-January-Spree-Updated.jpg
 
Back
Top Bottom