Troublemaker
JF-Expert Member
- Jun 8, 2015
- 19,752
- 38,184
nilitembelea page ya coquelin watu wamemtukana balaa 🤣 🤣Mason Mount
Taarifa zinasema Mount hakupoata majeraha mabaya kwenye ankle yake kwa hiyo asipocheza mechi na Liverpool hiyo nyingine atakuwepo
Jumatano alikuwepo kwenye mazoezi na wachezaji wengine akifanya mazoezi nyepesi nyepesi