Southern Highland
JF-Expert Member
- Mar 22, 2017
- 12,953
- 20,981
Hao mamluki huwa wanaelewa ila wanajitoaga ufahamu tu.Hii ndo Chelsea ambayo imewafukuza mamluki wote kwenye jukwaa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hao mamluki huwa wanaelewa ila wanajitoaga ufahamu tu.Hii ndo Chelsea ambayo imewafukuza mamluki wote kwenye jukwaa
Lampard hatari sana. Lazima wachakaeLiverpool wameshachoka, hii pressing ya Lamps hawaiwezi
Wakatae kutumika ovyo. Acha na sisi tuwatumieWachezaji waliverpool wametumika sana
Pulisic ni kama Lampard tu wanachotofautiana ni umri na experience kitu ambacho Pulisic anahitaji walau misimu miwili mpaka mitatu hawa mamluki watamuelewa.Ingekuwa 2 ila goli la Pulisic kama yale ya Hazard limekataliwa
Huyu Ngolo Kante anastahili aongezwe mshahara. Kazi anayofanya ni zaidi ya tulichotegemea
Malafyale najua wewe una damu ya kunguni sio kama akina NgwabaDaah
3-1 anyway
Hao mamluki huwa wanaelewa ila wanajitoaga ufahamu tu.
Kante akiwa kwenye form utampenda bure, hata fans wa Liverpool wanampenda. Mbele yupo, katikati yupo, nyuma yupo, kulia yupo, kushoto yupoHuyu mmakonde tunacho muombea asije pata Injury, maana beki yetu si unajua Tia maji tia maji...
Fafanua zaidi. Wao Liverpool wamecheza toka Ijumaa sisi tumecheza big game Jumapili. Wametumika kwa namna gani amabayo wachezaji wa Chelsea hawajatumika?Wachezaji waliverpool wametumika sana
Kante akiwa kwenye form utampenda bure, hata fans wa Liverpool wanampenda. Mbele yupo, katikati yupo, nyuma yupo, kulia yupo, kushoto yupo
Kazi ngumu mpe mtu mweusi Ngolo Kante
Sasa hivi wmebana makalio na wtapotea mpaka round ya kwnza inaisha
Giroud hata ile mechi na Man U, Pedro alimfanyia uchizi, alishajipositiuon vizuri halafu Pedro akazubaazubaa na mpira mpaka mabeki wa Man U wakaja kumzungukaGiroud angekuwa yuko makini leo chelsea walikuwa na zaidi ya magoli kutokea upande wa pedro na kante.
Napenda zaidi alivyotulia hana paparaLampard hatari sana. Lazima wachakae